Rais Samia jitokeze hadharani useme lolote ama tukuone tu na roho zetu zitulie

Rais Samia jitokeze hadharani useme lolote ama tukuone tu na roho zetu zitulie

Kwa jinsi hali ilivo tense ameenda kizimkazi kufanya Nini Tena jamani, Huu ni muda wa kuwa Dodoma na dar tu
 
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha

Baada ya kikao cha CCM kushindwa kufanyika kama ratiba ya awali ilivyopanga tunasikia kelele nyingi mtandaoni kuwa hutaweza kuendelea tena kugombea, mara umepanda ndege ya abiria kurudi Zanzibar

Tunaomba ufanye hima ujitokeze tu pale Ubungo au Posta ununue muhindi wa kuchoma na kupiga picha kama alivyokuwa akifanya JPM
Majizi na mafisadi wa Mali zacumma,mnaweweseka
 
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha

Baada ya kikao cha CCM kushindwa kufanyika kama ratiba ya awali ilivyopanga tunasikia kelele nyingi mtandaoni kuwa hutaweza kuendelea tena kugombea, mara umepanda ndege ya abiria kurudi Zanzibar

Tunaomba ufanye hima ujitokeze tu pale Ubungo au Posta ununue muhindi wa kuchoma na kupiga picha kama alivyokuwa akifanya JPM
Utamuona tu hivi karibuni akiwa na orodha ya wagombea ubunge Nchi nzima na kupiga kupenga Cha mchakamchaka wa kampeni za uchaguzi Nchi nzima.

Wakati wengine wakiendelea kuota mchana.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha

Baada ya kikao cha CCM kushindwa kufanyika kama ratiba ya awali ilivyopanga tunasikia kelele nyingi mtandaoni kuwa hutaweza kuendelea tena kugombea, mara umepanda ndege ya abiria kurudi Zanzibar

Tunaomba ufanye hima ujitokeze tu pale Ubungo au Posta ununue muhindi wa kuchoma na kupiga picha kama alivyokuwa akifanya JPM
Picha za leo hizo alipozungumza na mamiss na viongozi wa Kampuni ya Miss World Limited, Zanzibar. Mhe. Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1753013055220.jpg
    FB_IMG_1753013055220.jpg
    258.2 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1753013064189.jpg
    FB_IMG_1753013064189.jpg
    104.8 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1753013079500.jpg
    FB_IMG_1753013079500.jpg
    142.9 KB · Views: 7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mshindi wa Miss World 2025 Bi. Opal Suchata Chuangsri mara baada ya mazungumzo yaliofanyika Kizimkazi, Zanzibar tarehe 20 Julai, 2025.
View attachment 3412089
Kama kweli yupo Kizimkazi basi kuna jambo halipo sawa... Tulitarajia awe Dodoma kama Mwenyekiti wa Chama katika Mchujo unaoendelea wa Wabunge, ambapo tumeambiwa wapo wengi na kazi ni ndefu itaendelea mpaka 28 July...
 
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha

Baada ya kikao cha CCM kushindwa kufanyika kama ratiba ya awali ilivyopanga tunasikia kelele nyingi mtandaoni kuwa hutaweza kuendelea tena kugombea, mara umepanda ndege ya abiria kurudi Zanzibar

Tunaomba ufanye hima ujitokeze tu pale Ubungo au Posta ununue muhindi wa kuchoma na kupiga picha kama alivyokuwa akifanya JPM
Nawe acha uchurk wa kusenge, Rais si alizindua DIRA 2050 tarehe 17.07.2025 ambayo ni juzi tu Alhamisi akiwa na bashasha? Mungu awasaidie tu mnaombea binadamu wenzenu mabaya kila siku utafikuri nyie ni wa milele. Hayo mabaya yatawapata ninyi si Rais wetu mpendwa, mambwa koko tu nyie. Kuharisha hicho imekuwa uzushi, kutaka kutengeneza taharuki isiyokuwepo. Bahati nzuri wanaopitia hii mitandao ni wachache sana, huku uraiani nchi imetulia watu wanachapa kazi km kawa. Mi napanda basi kila siku Km 60 kwenda na kurudi huwezi sikia watu wanajadili upuuzi wowote ulio ktk hii mitandao. Watu waliomo humu ni wa aina yake hawapo ktk uhalisia wapuuzwe. Rais wetu piga kazi km unaweza acha kufuatilia hii mitandao, hii ni artificial society, haipo kiuhalisia na hakuna mpiga kura huku. Taarifa sahihi ipo kwenye vyombo vya habari halisi km ITV, TBC, Star TV na vingine km hivyo. Mi mwenyewe nna mpango kuachana na hv vimitandao si vizuri kwa ht afya ya akili.
 
Walidai Jiwe yuko hai anachapa kazi ndiyo maana wanataka tu ajitokeze japo kiduchu ili roho zao zitulie then wamuulize kulikoni akaondoka na ndege ya raia kurudi taifa jirani la Zanzibar? Why avoiding the presidential jet?
Walidai hivyo waliotoka hadharani ila saizi ni mitandao.

Usiwe unadandia stori za mitandaoni.
 
Not this time. Samia right now is suffering from anger, anguish and depression. She is in total disbelief seeing even the closest friends are now spitting fire against her.
Mwanamke ana uwezo wa ku digest hayo yote tofauti na mwanaume ambae angekuwa ameanguka kwa pressure au kajinyonga 😂😂
 
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha

Baada ya kikao cha CCM kushindwa kufanyika kama ratiba ya awali ilivyopanga tunasikia kelele nyingi mtandaoni kuwa hutaweza kuendelea tena kugombea, mara umepanda ndege ya abiria kurudi Zanzibar

Tunaomba ufanye hima ujitokeze tu pale Ubungo au Posta ununue muhindi wa kuchoma na kupiga picha kama alivyokuwa akifanya JPM
Unataka aende sokoni kaliako,Mama mzima anapiga kazi mitano tena,maana machawa wasije kufa na presha
 
Back
Top Bottom