Rais Samia ili ku-deal kisawasawa na watu hao, unda Tume ya kijaji kuchunguza mauaji ya MKIRU, kina Ben Saanane, Azory, kushambuliwa kwa Lissu

Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect.

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Ameshachelewa kesi zilishafikishwa kwa Mungu.
 
Hizo silaha za Nyuklia zina wakati wake.... ila kwa sasa huo ujanja hana. Anahitaji kanda ya ziwa 2025, kina ngosha wakimgeuka atapata tabu sana. JK walimtesa sana 2010.

Kanda ya ziwa ipi, Magufuli mwenyewe ilibidi anajisi uchaguzi 2020 ili atangazwe mshindi kwa shuruti. Kama kweli alikuwa anategemea hiyo kanda ya Ziwa kipi kilimfanya apore uchaguzi?
 
Kamuulize Joyce banda wa malawi ndio uje, kinana wa 1995 sio wa 2025 keshaanza kuchoka
Nani anategemea box la kura, Magufuli kashapanda mbegu ya kutoheshimu box la kura, sasa sijui unamtisha nani. Vinginevyo maana mnasema mko wengi muingie mtaani. Juzi si kumefanyika uchaguzi ndani ya ccm na Kinana aliyembagaza Magufuli kapata kura 100% na sukuma gang mlikuwa ndani mbona hamkufanya lolote?
 
Mama kawa mpole sana mpaka mnamshika sharubu. Ila tatizo la Mama kaja kuwa kama vile yeye hakuwa sehemu ya Dkt Magufuli
Hakuwa sehemu ya Magufuli, yeye alikuwa makamu wa rais kwa mujibu wa katiba. Waliokuwa sehemu ya Magufuli ni kina Makonda, Sabaya, Kalemani, Mpina, Ndugai nk.
Ja
 
Kamuulize Joyce banda wa malawi ndio uje, kinana wa 1995 sio wa 2025 keshaanza kuchoka
Usifananishe nchi yenye demokrasia Malawi na takataka tuu.. ambayo wapiga kura wanaamua nanini awe raisi sio wahesabu kula ..
 
It seems SUKUMA GANG is better and more giant than CHADEMA. Nashauri CHADEMA na CCM waungane dhidi ya hiyo SUKUMA GANG.
 
Kanda ya ziwa ipi, Magufuli mwenyewe ilibidi anajisi uchaguzi 2020 ili atangazwe mshindi kwa shuruti. Kama kweli alikuwa anategemea hiyo kanda ya Ziwa kipi kilimfanya apore uchaguzi?
Mkuu fuatilia data za uchaguzi, kanda ya ziwa kuna watu wengi mno, kati ya wapiga kura 10 kuna 4 kutoka kanda ya ziwa.

Hilo la 2020 ni tamaa tu za Magu kutopenda kushindwa lakini lake zone inatosha kabisa kumpa ushindi. Hivi sasa kuna propaganda kali sana inaenea huko, kwamba Magu aliondolewa. Mama mwenyewe yuko worried na hiyo propaganda, ana mwaka mmoja madarakani, amekwenda Kanda ya ziwa mara nyingi kuliko maeneo mengine.

Hapa tunaiga story za mtandaoni, ila ground kuna tofauti
 
Mkuu fuatilia data za uchaguzi, kanda ya ziwa kuna watu wengi mno, kati ya wapiga kura 10 kuna 4 kutoka kanda ya ziwa.

Hilo la 2020 ni tamaa tu za Magu kutopenda kushindwa lakini lake zone inatosha kabisa kumpa ushindi. Hivi sasa kuna propaganda kali sana inaenea huko, kwamba Magu aliondolewa. Mama mwenyewe yuko worried na hiyo propaganda, ana mwaka mmoja madarakani, amekwenda Kanda ya ziwa mara nyingi kuliko maeneo mengine.

Hapa tunaiga story za mtandaoni, ila ground kuna tofauti

Kwa taarifa yako huko kanda ya ziwa ni 50/50 kati ya ccm na upinzani. Naona unaongea kama vile kura za huko Magufuli au ccm walikuwa na hati miliki nazo. Mama amekwenda kanda ya ziwa sio kuomba kura, bali kwa shughuli za kiserikali. Kama kweli ccm wanaamini kanda ya ziwa ni ngome yao, waibe kwingine, kisha hizo za kanda ya ziwa zihesabiwe kihalali kisha ulete mrejesho. Utashuhudia ukweli utakaokuumiza.
 
Kwa taarifa yako huko kanda ya ziwa ni 50/50 kati ya ccm na upinzani. Naona unaongea kama vile kura za huko Magufuli au ccm walikuwa na hati miliki nazo. Mama amekwenda kanda ya ziwa sio kuomba kura, bali kwa shughuli za kiserikali. Kama kweli ccm wanaamini kanda ya ziwa ni ngome yao, waibe kwingine, kisha hizo za kanda ya ziwa zihesabiwe kihalali kisha ulete mrejesho. Utashuhudia ukweli utakaokuumiza.
Ndio ilivyokuwa ila wakati wa Magu mzani ulibadilika. Kanda ya ziwa iligeuka yake, ila muda utasema
 
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect.

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Naunga mkono hoja.....!!!
 
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect.

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Mbona mauaji ya JPM UJAWEKA
 
Ndio ilivyokuwa ila wakati wa Magu mzani ulibadilika. Kanda ya ziwa iligeuka yake, ila muda utasema

Akidhibiti vyombo vya habari na akazuia siasa za ushindani, ulitumia kipimo gani kujua ukweli huo? Angeheshimu wangalau box la kura tungeweza kujua kukubalika kwake eneo hilo. Sasa hizi propaganda zake ndio umeona ni kipimo cha yeye kukubalika huko?
 
Kumbuka 60% ya wa tanzania ni was Ukuwa and alliance
Kweli cdm imepotea kabisa.Mpaka salary slip anakuwa mshauri wa CCM Msoga.?Labda nikwambie tu ,Magufuli Ingawa ni marehemu anakubalika kuliko mama aliye hai.Take my word.Hata ikichunguzwa inaonekana Ni kweli.Watu watazid kumdharau huyu mama.Halafu huyu mama atajichunguza vip wakati na yeye alikuwa serikali?Kwanza yeye ,Mpango,Majaliwa wapishe kwanza.
 
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect.

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Lakini wakati huohuo ukumbuke alikuwa makamu wa Rais! Najua majibu hayatakuwa Magufuli alibeba bunduki kuyayafanya hayo,na Kama itkuwa serikali ulifanywa yeye anajinasuaje? Mnamfundisha achukue kisu ajichome mwenyewe? Watanzania mnatabu!
 
Back
Top Bottom