peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,826
- 21,436
Rais Samia hii ni wiki ya Sheria. Waambie watanzania ni lini Hukumu zitaanza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili Ili watanzania waweze kukata rufaa kwenye kesi zao wenyewe.
Jaribu kutimiza yaliyoanzishwa na Hayati Rais Magufuli kwa faida ya Watanzania.
Pia soma
Jaribu kutimiza yaliyoanzishwa na Hayati Rais Magufuli kwa faida ya Watanzania.
Pia soma
- Profesa Ibrahim Juma: Muhtasari wa Hukumu kuanza kutolewa kwa Kiswahili mwezi Februari (Jan 18, 2021
- Rais Magufuli ampandisha cheo Jaji Zephrine Galeba aliyetoa hukumu kwa lugha ya Kiswahili kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Feb, 1,2021)
- Tusidanganye umma wa Watanzania, kutotumia Kiswahili kuandika hukumu sio sababu ya kunyima haki Wananchi (Feb 2,2021)
- Tuishie kwenye kuandika hukumu kwa lugha adhimu ya Kiswahili au twende mbali zaidi? (Feb 2, 2021)