Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,013
- 93,777
Kama ni mjanja 2025 iwe mwishoHivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Kama ni mjanja 2025 iwe mwishoHivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Huna kweli hyo nnya au unajichomeka afu unanusa?Umepanic mjane wa magu fool.
Kumbe we' ni shoga!Punguza ashki we mtoto wa kahaba.
Ntakufilimba.
Wasukuma ni wapambanaji wanaojua kutumia rasilimali za nchi yao tanzaniaNi leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Waandishi wa hotuba za Madam President wanapaswa kuwa makini mno na maudhui yaliyomo ndani yake. Anapaswa kuzungumzia mambo ya msingi kwa kutaja tu sekta husika wala si kwa kutaja kabila.Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Wasukuma ni AKILI KUBWA hata mama anajua hivo.Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Wasukuma ni AKILI KUBWA hata mama anajua hivo.Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Acha matusi ovyo cheti bandia uliefurushwa,pambana na hali yako.Teeh.
Acha kutoa povu wewe sukuma gang.
Unawashwa?Acha matusi ovyo cheti bandia uliefurushwa,pambana na hali yako.