Rais Samia, hili la wamachinga litawapa umaarufu wanasiasa waliopoteza mvuto. Watasema "umepiga mchache"

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu wanaJF!

Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na wanasiasa walioahidi neema kwa wamachinga.

Sasa naona takribani mwaka mmoja baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kabla hata ya kuandaa sehemu sahihi za kufanyia biashara wamachinga wanaondolewa mijini kwa ukatili mkubwa.Yaani KPI mpya ya Ma-RC na Ma-DC ni kudhibiti wamachinga wasitafute riziki bila ya kutoa suluhisho mbadala.

Nimalize tu kwa kusema Rais Samia kwenye hili la wamachinga tutapata tabu mbeleni kwani sasa "Serikali imeupiga mdogo", hatujachelewa tujisahihishe.
 
605AB4B2-947E-4573-AABA-297593113BAE.jpeg
 
Ndugu zangu wanaJF!

Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na wanasiasa walioahidi neema kwa wamachinga.

Sasa naona takribani mwaka mmoja baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kabla hata ya kuandaa sehemu sahihi za kufanyia biashara wamachinga wanaondolewa mijini kwa ukatili mkubwa.Yaani KPI mpya ya Ma-RC na Ma-DC ni kudhibiti wamachinga wasitafute riziki bila ya kutoa suluhisho mbadala.

Nimalize tu kwa kusema Rais Samia kwenye hili la wamachinga tutapata tabu mbeleni kwani sasa "Serikali imeupiga mdogo" ,hatujachelewa tujisahihishe.
The marching guys are a deadly virus in the CCm's blood stream.
 
Declare your interest Kwanza wewe ni timu Magufuli, halifu ndipo uanze kumfundisha mama Samia namna ya kuingiza nchi
Ndugu zangu wanaJF!

Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na wanasiasa walioahidi neema kwa wamachinga.

Sasa naona takribani mwaka mmoja baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kabla hata ya kuandaa sehemu sahihi za kufanyia biashara wamachinga wanaondolewa mijini kwa ukatili mkubwa.Yaani KPI mpya ya Ma-RC na Ma-DC ni kudhibiti wamachinga wasitafute riziki bila ya kutoa suluhisho mbadala.

Nimalize tu kwa kusema Rais Samia kwenye hili la wamachinga tutapata tabu mbeleni kwani sasa "Serikali imeupiga mdogo" ,hatujachelewa tujisahihishe.
 
Mwambie kaka yako David Silinde maana ndiye msimamizi wa zoezi la kuondoa hao wamachinga!
Ndugu zangu wanaJF!

Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na wanasiasa walioahidi neema kwa wamachinga.

Sasa naona takribani mwaka mmoja baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kabla hata ya kuandaa sehemu sahihi za kufanyia biashara wamachinga wanaondolewa mijini kwa ukatili mkubwa.Yaani KPI mpya ya Ma-RC na Ma-DC ni kudhibiti wamachinga wasitafute riziki bila ya kutoa suluhisho mbadala.

Nimalize tu kwa kusema Rais Samia kwenye hili la wamachinga tutapata tabu mbeleni kwani sasa "Serikali imeupiga mdogo" ,hatujachelewa tujisahihishe.
Ndani ya CCM kuna mpasuko mkubwa sana. Hebu jioneeni kwa ufupi tu
 
Yeye shida yake ni kusifiwa na kushinda uchaguzi? Hujali kuwepo na utaratibu??
Ndugu zangu wanaJF!

Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na wanasiasa walioahidi neema kwa wamachinga.

Sasa naona takribani mwaka mmoja baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kabla hata ya kuandaa sehemu sahihi za kufanyia biashara wamachinga wanaondolewa mijini kwa ukatili mkubwa.Yaani KPI mpya ya Ma-RC na Ma-DC ni kudhibiti wamachinga wasitafute riziki bila ya kutoa suluhisho mbadala.

Nimalize tu kwa kusema Rais Samia kwenye hili la wamachinga tutapata tabu mbeleni kwani sasa "Serikali imeupiga mdogo" ,hatujachelewa tujisahihishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom