Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kuna hujuma za dhahiri sasa baadhi ya wakuu wa mikoa wanataka kufanya ili kujenga taswira hasi dhidi ya Rais Samia kwenye suala la wamachinga.
Tuseme ukweli mwaka 2015 umaarufu wa CCM ulikuwa shakani baada ya historia mbaya kunyanyasa wamachinga leo tunarudi kulekule.Tulilazumika kumuuza Magufuli badala ya CCM.
Kuna juhudi za makusudi baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya kumuondolea Rais Samia uaminifu kwa wananchi.
Wamachinga waheshimiwe kama hakuna sehemu bora waachwe walipo hadi itakapopatikana na ikiwezekana serikali ininue baadhi ya maeneo mijini ivunje majengo ili yawe maalum kwa wananchi.
Kuna hujuma za dhahiri sasa baadhi ya wakuu wa mikoa wanataka kufanya ili kujenga taswira hasi dhidi ya Rais Samia kwenye suala la wamachinga.
Tuseme ukweli mwaka 2015 umaarufu wa CCM ulikuwa shakani baada ya historia mbaya kunyanyasa wamachinga leo tunarudi kulekule.Tulilazumika kumuuza Magufuli badala ya CCM.
Kuna juhudi za makusudi baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya kumuondolea Rais Samia uaminifu kwa wananchi.
Wamachinga waheshimiwe kama hakuna sehemu bora waachwe walipo hadi itakapopatikana na ikiwezekana serikali ininue baadhi ya maeneo mijini ivunje majengo ili yawe maalum kwa wananchi.