Rais Samia: Hakuna Taifa linaloweza kuwa na maendeleo endelevu bila usimamizi mzuri wa haki

Rais Samia: Hakuna Taifa linaloweza kuwa na maendeleo endelevu bila usimamizi mzuri wa haki

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, leo Januari 13, 2026.
 
Ameandikiwa aseme hivyo? Hakupatwa na kigugumizi cha moyoni kuyasema hayo? Hiyo ni sawa na kahaba ahubiri kuwa tukitaka kuwa na familia tujitenge na ukahaba.
Kwa mwendo huu, nasubiria siku atakaposema, anaungana na maaskofu kuitaka nchi yetu izingatie haki kwani ndiye mzazi wa amani.
 
wameshikwa mbaya sana, wako katikati ya bahari na hawana pa kushika na mtumbwi ndo unaelekea kuzama. Ni jioni sana wakicheza tunazama wote kiuchumi
 
20260108_120429.png
 
Back
Top Bottom