Rais Samia Azindua PAPU Tower Arusha

Rais Samia Azindua PAPU Tower Arusha

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
640
Reaction score
575
LEO KATIKA KUMBUKUMBU

2 Septemba 2023 — kuzinduliwa kwa PAPU Tower Arusha

Rais Mhe Dr. Samia Suluhu Hassan alizindua rasmi Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU Tower), lililopo Philips, Arusha. Alifanya hafla hiyo pamoja na viongozi wa PAPU, akiwemo Katibu Mkuu Dkt. Sifundo Moyo.
IMG-20260902-WA0077.jpg
 
Back
Top Bottom