Wakuu wa Mikoa wamfariji Rais Samia

Wakuu wa Mikoa wamfariji Rais Samia

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
731
Reaction score
659
Wakuu wa Mikoa, wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 11 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Septemba, 2026.

Soma Pia:
IMG-20260911-WA0089.jpg
IMG-20260911-WA0090.jpg
IMG-20260911-WA0091.jpg
 
Dah!

Haya yote hayakufanyika kwa wale maelfu ya Watanzania waliouliwa Oktoba 29!

IMG_0213.jpeg


Kwao hao watu maisha ya mume yalikuwa na thamani zaidi kuliko maisha ya watoto wa Kitanzania.

Hatutasahau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom