Rais Samia awasili Salama Salimini Beijing Nchini China

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
26,480
19,295
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amewasili salama Salimini kabisa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Beijing Nchini China.

Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbali na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Taifa na kulipeleka anga za kimataifa.

Ushawishi wa Taifa letu unaendelea kupaa kwa kasi chini ya jemedari wetu dkt Samia Suluhu Hasssan na ndio maana kila ikitokea tumeweka mgombea katika nafasi za kimataifa tunashinda kwa kishindo kikuu kinachoitetemesha Dunia nzima. Tumefanya hivyo kwa Dkt Tulia na sasa kwa Dkt Ndugulile .

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu.Rais wetu mpendwa ni Mbarikiwa
Screenshot_20240903-113618_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amewasili salama Salimini kabisa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Beijing Nchini China.

Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbala na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Tafa na kulipeleka anga za kimataifa.

Ushawishi wa Taifa letu unaendelea kupaa kwa kasi na ndio maana kila ikitokea tumeweka mgombea katika nafasi za kimataifa tunashinda kwa kishindo kikuu kinachoitetemesha Dunia nzima. Tumefanya hivyo kwa Dkt Tulia na sasa kwa Dkt Dugulile .View attachment 3085656

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unahangaika sana dogo.
 
Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbala na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Tafa na kulipeleka anga za kimataifa.
Wachina wabubujikwa na machozi kumuona mpendwa wa watanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amewasili salama Salimini kabisa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Beijing Nchini China.

Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbala na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Tafa na kulipeleka anga za kimataifa.

Ushawishi wa Taifa letu unaendelea kupaa kwa kasi na ndio maana kila ikitokea tumeweka mgombea katika nafasi za kimataifa tunashinda kwa kishindo kikuu kinachoitetemesha Dunia nzima. Tumefanya hivyo kwa Dkt Tulia na sasa kwa Dkt Dugulile .View attachment 3085656

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umeanza kwa kuandika mazuri na ukamaliza na mazuri matupu

Hakika ushawishi wa mh.Rais SSH ni mkubwa huko nje mfano wa Dr.Tulia kushinda urais wa uspika wa mabunge pamoja na Dr.Ndugulile kupata zile kura 25 kati ya 46.

Ni mafanikio makubwa na najivunia kuwa mtanzania

FAIDA YA FILAMU YA ROYAL TOUR.

#Nchi Kwanza
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amewasili salama Salimini kabisa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Beijing Nchini China.

Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbala na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Tafa na kulipeleka anga za kimataifa.

Ushawishi wa Taifa letu unaendelea kupaa kwa kasi na ndio maana kila ikitokea tumeweka mgombea katika nafasi za kimataifa tunashinda kwa kishindo kikuu kinachoitetemesha Dunia nzima. Tumefanya hivyo kwa Dkt Tulia na sasa kwa Dkt Dugulile .View attachment 3085656

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni suala la kumshukuru sana Mungu kama wamefika salama salmini. Tunamtakia safari njema na arudi salama.
Isipokuwa Sasa wakiwa huko wajifunze na kuchukua yale mambo yote yaliyo mazuri na mema, yale mambo mabaya na yasiyofaa watakayoyaona huko basi wayaache huko huko China, wasirudi nayo huku Tanzania. Yale mambo mazuri waje nayo Tanzania, lakini yale mambo mabaya wayaache huko huko China kwa wenyewe wa-China because Chinese Regime is very known world-wide for bad quality and brutality.
 
Ni jambo jema

Shujaa Magufuli alifanya lililo jema kununua Ndege

Jana Ruto naye katua na Air Kenya
Mwanamwema wa Tanzania ,J.P.J Magufuli(Rip)...ataendelea kuombewa baraka kuu na milima na mabonde ya Tanzania likiwemo lile la NGORONGORO,aaamen aaamen

MAGUFULI MTHUBUTU TUNAFAIDI UTHUBUTU WAKE.

Resty easy El Commandante J.P.J.Magufuli ,aaamen aaamen

#Nchi kwanza
 
Ni suala la kumshukuru sana Mungu kama wamefika salama salmini. Tunamtakia safari njema na arudi salama.
Isipokuwa Sasa wakiwa huko wajifunze na kuchukua yale mambo yote yaliyo mazuri na mema, yale mambo mabaya na yasiyofaa watakayoyaona huko basi wayaache huko huko China, wasirudi nayo huku Tanzania. Yale mambo mazuri waje nayo Tanzania, lakini yale mambo mabaya wayaache huko huko China kwa wenyewe wa-China because Chinese Regime is very known world-wide for bad quality and brutality.
Hakika....

China haiwavumilii WASALITI wa dola lao...
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amewasili salama Salimini kabisa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu Beijing Nchini China.

Akiwa huko atashiriki mkutano mzito sana na wenye maslahi mapana kwa Taifa letu.Usikae mbala na jukwaa hili ili uendelee kupata habari kwa kadri zitakavyokuwa zinaendelea kupatikana.Mama anaendelea kuliheshimisha vyema sana Tafa na kulipeleka anga za kimataifa.

Ushawishi wa Taifa letu unaendelea kupaa kwa kasi na ndio maana kila ikitokea tumeweka mgombea katika nafasi za kimataifa tunashinda kwa kishindo kikuu kinachoitetemesha Dunia nzima. Tumefanya hivyo kwa Dkt Tulia na sasa kwa Dkt Dugulile .View attachment 3085656

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ya kwako sisis yanatuhusu nini
 
"Kama mti wa muembe, nikachipuza neema, na maua yangu ni matunda ya ukwasi"- Mama yangu Gamic.

Anaye panga kunidhulumu mali yangu niliyoirithi kutoka kwa Mama yangu Gamic , namlaani apate laana. #Nipeni maua yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom