MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,654
- 13,838
Kuna watu walituchelewesha sana.
Kuna wahuni nchi za ulaya walifadhili huo mpango wa mbowe kufanya ugaidi lakini haukupata baraka za serikali za ulaya ni wahuni magenge ya kihuni ndio maana mama Samia ziara zote ulaya na marekani hakupokelewa na mabango ya kumpinga au kudai demokrasiaBaada ya kuahidi kumwachia mwamba Mbowe
Wenye wivu na akili fupi tayari wameshaanzisha ubaguzi. Sisi watanganyika na wao wazanzibari, wenye maono kama taa ya baiskeli wameshaanzisha chokochoko wakitaka kuvunja muungano.
Kwa hiyo Tanzania
, tumegeuka Matonya@tz?
Kwamba tumekuwa nchi ya kwenda kuombaomba na kufurahia kupewa bila kutafakari masharti yatakayoandamana na mikopo hiyo?
Kwamba sasa kazi ni kuinadi nchi kwa wenye Pesa zao waje wachukuwe chochote watakacho?
Kwa hiyo hizi Code za Google Map mnatuzugia kupitia anuani za makazi kumbe lengo kuu ni kumrahisishia mama kazi ya kuiuza nchi na raslimali zake?
Mungu alituumba wa ajabu sana sisi watanzania!Shida umeandika kishabiki as if hiyo hela ni ya bure vile...ulitakiwa kuandika Samia afanikiwa kupata mikopo yenye thamani ya zaidi ya billion 600huku zanzibar ikipata mgao wa zaidi ya billion 200 za mkopo...
Bora uyaambie haya mazwazwa!
Itanichukua muda mrefu sana kuzielewa akili za baadhi ya watanzania!Wewe sio Mzanzibari ila ni mchonganishiSisi wazanzibar tunazisubiri kwa hamu sasa, hakika ni zamu yetu kuneemeka.
Kwahiyo kufurahia maendeleo ya sehemu ninayotoka ni uchonganishi? Unakataa kwamba hatujufaiki na huu uongozi mzuri wa awamu hii?Wewe sio Mzanzibari ila ni mchonganishi
Kwa hiyo kukopa kumekuwa ni kuvuna; yaani mnaona hadi aibu mnaamua kubadilisha maneno.
Na ni mkopo sio msaadaMazunguzo ya siku nyingi tu UFARANSA KUENDELEZA AWAMU YA TANO MRADI WA MABASI YA MWENDOKASI
Baada ya hapa mna karne kadhaa za kusikitika.Sisi wazanzibar tunazisubiri kwa hamu sasa, hakika ni zamu yetu kuneemeka.
Neno KUVUNA halijatumika katika uhalisia na usahihi wake...
Kwahiyo sio mabeberu tena....ila mataga kwa Uturn mko vzr..kesho na kesho kutwa akitokea wa kusema hatoki nje ya nchi..mtamshambulia na kumpuuza mtembea bure.Kuna wahuni nchi za ulaya walifadhili huo mpango wa mbowe kufanya ugaidi lakini haukupata baraka za serikali za ulaya ni wahuni magenge ya kihuni ndio maana mama Samia ziara zote ulaya na marekani hakupokelewa na mabango ya kumpinga au kudai demokrasia
Chadema walitaka kutumia magenge ya kihalifu Ku di stablize Tanzania ambayo hayana approval za serikali za Ulaya na marekani
Ulaya na marekani wana investments kibao ndio maana Mama Samia anapokelewa vizuri popote akienda ulaya au marekani
Migenge ya kihalifu ya akina Amsterdam nk ambayo haina approval ya serikali zao ulaya na marekani haipewi nafasi .Chadema imekula kwenu
We ni kiazi kweli kweli. Hebu soma hapo nilipozungushia; usipoelewa omba wadau wakusaidie View attachment 2120503Misaada
Forget about Rwanda. Thats all I can sayHivi awamu ya Tano ya BRT inaanzia wapi mpaka wapi?
Hizo pesa ameokota???
Unadhani kla mtu humu ni zwazwa ehh???