Wewe mbulula Tanzania sio kisiwa.Kweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Mama anaupiga mwingi tatizo chawaPicha mbalimbali za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic Forum) uliofanyika katika Ukumbi wa Congress, Davos nchini Uswizi Januari 17, 2023.
View attachment 2484857
View attachment 2484858
View attachment 2484863
Unamuuliza nani sasaKweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Zama za mabeberu zilishapitwa na wakatiSlogan ya Mabeberu imefyekelewa mbali....
Ulinzi wa nani mkuu?,mbona unakua una roho ya juu kuhusu ulinzi wa no 1?,wewe umeshaona president wa US akihutubia na nyuma yake walinzi wake wamesimama?,hapo wote wamepita kwenye scanners na wanajadili kuhusu uchumi wa dunia na nchi zao, relax mkuu our no 1 she's in safe handsKwanini akiwa huku Ulinzi unakuwa wa hovyo sana?
Kweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Muisiharamu wote wana amini mabeberu ni miungu kwaoKwanini akiwa huku Ulinzi unakuwa wa hovyo sana?
acha ushamba wako wa kisukuma wewe raisi wa nchi lazima asafiri. ndo maana kwenye bajeti ya ofisi ya raisi kuna allocations za posho za safari nauli nkKweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?