Hongera sana madam chapa kaziMama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.
Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).
Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.
#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Dogo maisha umeyakosea mwenyewe acha makasiriko sisi tunavyo enjoy mema ya nchiWewe umeliwa biriani au bado??
..wapunguze idadi ya watu wanaokusanyika kumpokea Rais.
Mdau cement lori mbili zote za nini..Mimi nakueleza uhalisia ,hata kwa huyu mama Kama hufanyi Jambo kwa bidii na ubora hutapata pesa. Huu ni ukweli
Kuhusu mtaji wa hardware, sio kweli ni wa mil 30 hata kwenye kuanza sikuanza na hiyo
Ungezungumzia kuanzia 100+ ningekuelewa
Na hivyo nilivyokutajia ni vikubwa tu
- cement tu Lori mbili ni zaidi ya mil 15
- Bado nondo, bati, na takataka zingine zote
Nimeipenda hiiSASHA - SAMIA SULUHU HASSAN.
Asante sana Mh. Dr. JPM kwa kumuwezesha mama yetu anatuka na twiga wetu wenyewe🙏! Twiga hoyeee✊! RIP our Hero! You won't be forgotten Sir🙏!Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.
Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).
Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.
#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Asante sana Mh. Dr. JPM kwa kumuwezesha mama yetu anatuka na twiga wetu wenyewe🙏! Twiga hoyeee✊! RIP our Hero! You won't be forgotten Sir🙏!Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.
Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).
Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.
#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Mkuu mimi naangalia mzunguko wa hela ulivyo wakati wa JK na MEKO ndio nafanya comparison!
1.Wakati wa JK ukitangaza kuuza kiwanja haipiti wiki mbili ushakiuza ila kwa NGOSHA unaweza ukagonga hadi miezi 6 hakuna hata mtu wa kuuliza.
2. Waati wa JK ukijenga fremu hata kabla ya kumaliza upo kwenye foundation wafanyabiashara washakuja kuzibook zote na kulipia kodi ya mwaka mzima.
3. Enzi za JK nyumba sinza,mikocheni,mbezi beach ulikuwa hauwezi kupata maana zilikuwa full ila kwasasa mabango ya nyumba inapangishwa yapo kibao.
4.Enzi za JK ulikuwa hauwezi kukuta office for rent kwenye prime areas,ila sasa Majengo kibao yameandikwa office for rent,ina maana wafanyabisahra wengi wamekimbia na kuhamisha bizness zao sehemu nyingine na wengine wamefunga.
5.Enzi za JK Bar zilikuwa zinajaa watu wa kutosha ,supermarket ukienda watu kama wote unapanga foleni kibao kupata huduma,ukienda bank foleni ya mufa mtu ila sasa aibu.
Kwakifupi pesa imepungua kwenye mzunguko ,wewe shukuru kwamba upo kwenye chain ya wapigaji wa MEKO ambao walikuwa wanatumia fedha zao kukuunga mkono kwenye Hardware yako hiyo.
Kuna futari yenye urojo wa kizanzibariKuna nini kafuata huko!??
Mbona hujasema wauza NGADA walijaa mtaani!!!Mkuu mimi naangalia mzunguko wa hela ulivyo wakati wa JK na MEKO ndio nafanya comparison!
1.Wakati wa JK ukitangaza kuuza kiwanja haipiti wiki mbili ushakiuza ila kwa NGOSHA unaweza ukagonga hadi miezi 6 hakuna hata mtu wa kuuliza.
2. Waati wa JK ukijenga fremu hata kabla ya kumaliza upo kwenye foundation wafanyabiashara washakuja kuzibook zote na kulipia kodi ya mwaka mzima.
3. Enzi za JK nyumba sinza,mikocheni,mbezi beach ulikuwa hauwezi kupata maana zilikuwa full ila kwasasa mabango ya nyumba inapangishwa yapo kibao.
4.Enzi za JK ulikuwa hauwezi kukuta office for rent kwenye prime areas,ila sasa Majengo kibao yameandikwa office for rent,ina maana wafanyabisahra wengi wamekimbia na kuhamisha bizness zao sehemu nyingine na wengine wamefunga.
5.Enzi za JK Bar zilikuwa zinajaa watu wa kutosha ,supermarket ukienda watu kama wote unapanga foleni kibao kupata huduma,ukienda bank foleni ya mufa mtu ila sasa aibu.
Kwakifupi pesa imepungua kwenye mzunguko ,wewe shukuru kwamba upo kwenye chain ya wapigaji wa MEKO ambao walikuwa wanatumia fedha zao kukuunga mkono kwenye Hardware yako hiyo.
Wametangaza tarehe ya mkutano? Afadhali mkutano ufanyike Dodoma, huku Dar WANGA wengi!Vyovyote vile kazi iendelee. Mwezi huu mama anakabidhiwa rasmi uenyekiti wa CCM.
Mama kanyaga twende
Jokate anasukuma ndinga kali miaka mingi mno, tokea kaduchu tu nakakuta Kino kwa wapemba pale kana bonge la Pick-up double cabin new model leo asiwe na matako ya nyani.Daah kama hajanunua kagari aisee ataishia kupanda
Bolt
Kiembe samaki mkoa wa kaskazini unguja... hivi huyu mheshimiwa home kwake ni Zenji sehemu gani? I mean her official domicile; her permanent home kama ilivyokuwa Chato kwa mheshimiwa aliyetangulia.
..wapunguze idadi ya watu wanaokusanyika kumpokea Rais.
Ndege ya rais ilinunuliwa wakati wa mkapa,hata jk aliikuta,kipindi hicho waziri wa fedha alikua bazil pesambili mrambaAsante sana Mh. Dr. JPM kwa kumuwezesha mama yetu anatuka na twiga wetu wenyewe[emoji120]! Twiga hoyeee[emoji110]! RIP our Hero! You won't be forgotten Sir[emoji120]!
Huyu si mcheza mweleka- sasha banksSASHA - SAMIA SULUHU HASSAN.
Kuanzia sasa serikali iwe inagawa pesa mitaani kama free samples!Sawa Mkuu ,watu tunataka fedha kitaani ,akiendeleza madudu ya MEKO ataparuana na KIGOGO.
Ndege aliyotumia siyo GulfStream bali hiyo unaoona hapo ni Airbus 200! Gulfstream imeshakuwa mkoko, hala hata haionekani tena siku hizi kwenye safari za rais!Ndege ya rais ilinunuliwa wakati wa mkapa,hata jk aliikuta,kipindi hicho waziri wa fedha alikua bazil pesambili mramba
Sijawahi kuyakosea wewe kengeDogo maisha umeyakosea mwenyewe acha makasiriko sisi tunavyo enjoy mema ya nchi