Rais Samia atua Dodoma akitokea DSM

Rais Samia atua Dodoma akitokea DSM

Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.

Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).

Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.

#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Mitumbuo kabla ya ijumaa...wakuu wa mikoa na wilaya wajiandae...
 
Kwani uliambiwa urais ni kubeba zege? Watu wenye akili ndio mali ya rais na hao ndio wanampa ushauri jinsi gani ya kufanya na kuendeleza nchi,muache achague vichwa vyenye akili kwenda nae,tumpe muda hata mwezi hana mkuu ,hata mshahara wa rais hajachukua.

Kwani uliambiwa urais ni kubeba zege? Watu wenye akili ndio mali ya rais na hao ndio wanampa ushauri jinsi gani ya kufanya na kuendeleza nchi,muache achague vichwa vyenye akili kwenda nae,tumpe muda hata mwezi hana mkuu ,hata mshahara wa rais hajachukua.
Mimi nasubiri baada ya siku 100. Ila mpaka sasa hivi, Mama bado! Tena anatakiwa kuwa makini sana na "wapambe" hasa wa mitandaoni.
 
Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.

Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).

Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.

#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Ila huyo mama hapo kulia kwake bhana....
Any way ngoja niishie hapo
 
Serikali inajenga mazingira ya watu kufanya hizo kazi zao wapate faida! Nikupe mfano mdogo, kuna kauli ilisemekana “wakati wao wakijifungia ndani ninyi rimeneni muwauzie ghali!” Majuzi mahindi yetu yakakataliwa, yana sumukuvu! Hapo mimi mkulima nimefanya bidii, lakini mahindi yangu hayana soko! Alafu kuna viongozi wana kauli za kuudhi, eti “kama Wakenya hawataki mahindi yetu, tutengenezee vyakula vya mifugo!!”
 
Wewe nilikuuliza kwa nini wawe wale wengine na siyo Rungwe ukanijibu kuwa si waligombea,lakini mimi nikikupa jibu hilo hilo naona inakuwa nongwa!!Hii ni sawa?
Nataka utoe sababu za kumchagua Ringwe na kuacha wengine ilihali wote waligombea na kura zao hazikutosha.
 
Nataka utoe sababu za kumchagua Ringwe na kuacha wengine ilihali wote waligombea na kura zao hazikutosha.
Wewe hukunipa sababu ya wale uliowataja na kuwapendekeza,kwa nini mimi nikupe sababu ilihali wewe hukufanya hivyo?Unaelewa kuwa umewataja na kuwapendekeza akina Lissu bila ya kutoa sababu?
 
Wewe hukunipa sababu ya wale uliowataja na kuwapendekeza,kwa nini mimi nikupe sababu ilihali wewe hukufanya hivyo?Unaelewa kuwa umewataja na kuwapendekeza akina Lissu bila ya kutoa sababu?
Jamani!
Wewe si ndiye uliyekuja na mapendekezo kuwa angepewa Rungwe??
Sasa utupe sababu kwanini Wampe Rungwe.
 
Mkuu Wewe cheka tu Lakini mimi mkulima nikifikiria msoto nnaokua nao mwaka mzima, alafu mjuvi mmoja wa mambo anatuletea bei elekezi sijui kufunga mipaka, eti nchi isiwe na njaa! Alafu unamsikia Mtu eti waziri anasema mbaazi chakula kizuri cha Mifugo! Unatamani kumftatua DKR. Kileruu!
 
Roho kusema Ole sabaya analambishwa mchanga,au
Kumuombea mabaya mtu hata kama kuna mambo hukubaliani naye!,
Law of karma inatwambia "kwa kipimo kile kile tunachowapimia wenzetu nasi tutapimiwa hivyo hapa hapa duniani!
 
Kumuombea mabaya mtu hata kama kuna mambo hukubaliani naye!,
Law of karma inatwambia "kwa kipimo kile kile tunachowapimia wenzetu nasi tutapimiwa hivyo hapa hapa duniani!
Huyo mtoto wa mkuu wa wilaya wa zamani alisha pimaga siku nyingi sana, anasubiri tu na yeye kupimiwa! Alafu ana vijambazi vyake vinatembeaga na pingu, navyo kwenye vipimo vya mume wao watakulaa kilo kadhaa pia!
 
Back
Top Bottom