Mara Paaaaap anakabidhiwa Mkoa kabisa(RC). Sijui utapasuka nyongoOle sabaya week hii analambishwa mchanga
Mara Paaaaap anakabidhiwa Mkoa kabisa(RC). Sijui utapasuka nyongoOle sabaya week hii analambishwa mchanga
Ole sabaya week hii analambishwa mchanga
kuna vitu huwezi kuvificha hata ukiwa nyuma ya keyboard...mkuu roho mbaya itakuua!Halafu mbona sikii viongozi wa kikristo kukamatwa au kuwa uko magerezani, inamaana ni watakatifu sana au ni nini zaidi
We taahira..naona kichwa chako na macho na ubongo havishabihianiKuna nini kafuata huko!??
Mimi nakueleza uhalisia ,hata kwa huyu mama Kama hufanyi Jambo kwa bidii na ubora hutapata pesa. Huu ni ukweliMkuu mgumu sana kuelewa tusijizungumzie sisi,tuangalie in general,umesoma ripoti ya umasikini? Unajua kwamba kipindi cha magufuli masikini wameongezeka? Yaani wa bongo bwana kuwa na kajimtaji ka hardware ka mil 30 unajiona unaingiza pesa na kuanza kuleta bla bla humu.
Unajua kwanini mzunguko wa pesa umeshuka na masikini kuongezeka kwa awamu ya JIWE?
Alichaguliwa ila kura hazikutosha.Nataka Hashim Rungwe awe Rais.
Jomba mkongo huyoWewe kweli ni mtanzania mwenzetu?
Wewe umeliwa biriani au bado??Amekula?
Nawaona kina ma DC na rc wanaanza kufungasha mizigo yao hasa kina SabayaKuna nini kafuata huko!??
Wacha hizo hiyo ni moja ya kazi zao na siyo kuzurulaWalinzi wa huyu madam watazirula sanaaa
Ndiyo kilio chetu haswaMama kesho amalizie kile kipolo cha ma DC na wengineo
Aisee mbona sisi wana Arusha tutafanya sherehe?Ole sabaya week hii analambishwa mchanga
Watabana mwisho wataachia na kusalimu amriMumeona Mama hangaiki na nyie mnaanza kujipendekeza pendekeza kwake, Sukuma Gang tulishawaambia Mam Samia ndiye Rais wa JMT, asiyependa ahame nchi.
DuuuuuuEeh watu kama hawa...kina jokate warudi mtaani tu waongoze vikundi vya jogingi
Uendelee kuwa na mama hivyo hivyo, hata akikutumbua, siyo urudi huku kulialia!
Huyo ni CHAWA wa BASHITE alijidai kuleta za kuleta tukampiga spana za kutosha sasa kakubali matokeoUendelee kuwa na mama hivyo hivyo, hata akikutumbua, siyo urudi huku kulialia!
Kwanza aanze na kumpiga chini Sabaya ili wana Arusha tushinde kwa Mromboo tukipiga mbuzi choma na castle lightMama kaingia Dodoma jioni hii Kimya² Kuna uwezekano wa watu kula kiapo ndani ya mwezi mtukufu Wa Ramadhani.
Tulia ww..We taahira..naona kichwa chako na macho na ubongo havishabihiani