Rais Samia atua Dodoma akitokea DSM

Rais Samia atua Dodoma akitokea DSM

Ngoja nikusaidie kulalamika maana watu mnahisi maisha yamesimama.
Biashara sio nzuri, Hali mbaya Sana, pesa hakuna, maisha magumu, raisi legeza, tunakufa njaa......
Mm nakuambia biashara hazikuwa nzuri ww unasema mambo ya kulalamika sijui njaa. Njaa wanapataga watu wasio na savings, asset na investment. Mm nakuambia biashara hazikua nzuri na huo ndo uhalisia kama zilikuwa nzuri kwako nimekwambia mshukuru MUNGU wako hayo mengine ni matatizo yako na ushabiki wa kisiasa. Huko sipo.
 
Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.

Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).

Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.

#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Ameenda na Mzee Hafidh au yupo peke yake
 
Hivi why Madam prezdaa akiwa Dar anakaa Oysterbay kwenye nyumba ya makamu wa Rais instead of ikulu?
 
Mnahangaika Sana lakini hakuna chochote mtakachopata...huyu mwenye matendo haya unayotaja ndie huyo wananchi asilimia 90 walikuwa wanamtaka..huyohuyooo
Wananchi kukosea kumchagua mtu siyo jambo la ajabu.Unaelewa kuwa wananchi wa ujerumani walimpigia kura nyingi sana Hitler kuwa waziri mkuu wao?Unaelewa ni kitu gani kilitokea baada ya Hitler kuwa waziri mkuu wa Ujerumani?
 
Mkuu heshima kwako, Ila nakushauri ongeza bidii kwa kile unafanya. Serikali haitakuletea ugali mezani(ukweli mchungu)
Fanya kazi kwa bidii sana, kila siku buni vitu vipya punguza masaa ya kulala. Hizi kelele za humu kuwa pesa hakuna Wala usizitilie Sana maanani
Kweli tupunguze muda wa kulala.
 
Nilitaka CCM wakiri kuwa wameshindwa kuongoza nchi na wampendekeze Hashim Rungwe aapishwe.

Akili zako unazijua mwenyewe.

Kwahiyo wampe Rungwe ili atupelekee bahari Dodoma au siyo??
Kwanini Rungwe?
Kwanini asiwe Lisu,Sendiga ama Lipumba??
Hao wote si waligombea,kwanini awe Rungwe?
 
Mama kesho tuondolee wakuuu wa mikoa maana Kuna simbilisi bado hawajitambui
 
Mama Samia shujaa amefika Dodoma leo akitokea Dar, tayari kwa kutekeleza ile kauli mbiu ya kazi iendelee.

Pia kwa wale watu vizabizabina, Mama Samia hajipangii ulinzi anapangiwa(makomandoo wenye bunduki) na pia hajipangii red carpet anapangiwa(ziara za kiofisi).

Hizo ndio protocols, kwa hiyo muache kujifanya wajuaji.

#nipo na mama# kazi iendelee#
View attachment 1751002
Mama bado hajaonesha kama kazi anaiweza. Msimtweze baadae mkaona aibu kumshusha. Narudia. Mimi ni MwanaCCM ila Mama bado hajafanya lolote!
 
Mimi nakueleza uhalisia ,hata kwa huyu mama Kama hufanyi Jambo kwa bidii na ubora hutapata pesa. Huu ni ukweli
Kuhusu mtaji wa hardware, sio kweli ni wa mil 30 hata kwenye kuanza sikuanza na hiyo
Ungezungumzia kuanzia 100+ ningekuelewa
  • cement tu Lori mbili ni zaidi ya mil 15
  • Bado nondo, bati, na takataka zingine zote
Na hivyo nilivyokutajia ni vikubwa tu

Yaani wewe unazungumzia mmoja mmoja badala ya uchumi kwa ujumla ndio tunapotofautiana hapo...Wewe umekazania ujitume ufanye kazi ,kazi gani za kufanya wakati wafanyabiashara wamekimbiza mitaji? Maofisi yamefungwa ,mtaji watu hawana ,wajitume kwa njia ipi? ya kuokota makopo?

Ukijiona wewe una mafanikio usichukulie ambao hawajafanikiwa ni wazembe!! Kwa mazingira kama haya hao watu unaosema wajishughulishe wafanye kitu gani? Waanzisha Hardware kama wewe? Msingi watatoa wapi wengine ndio wamemaliza chuo muda huu? Enzi za JK fursa zilikuwa nyingi hata udalali ulikuwa unalipa vizuri.
 
Mama bado hajaonesha kama kazi anaiweza. Msimtweze baadae mkaona aibu kumshusha. Narudia. Mimi ni MwanaCCM ila Mama bado hajafanya lolote!

Kwani uliambiwa urais ni kubeba zege? Watu wenye akili ndio mali ya rais na hao ndio wanampa ushauri jinsi gani ya kufanya na kuendeleza nchi,muache achague vichwa vyenye akili kwenda nae,tumpe muda hata mwezi hana mkuu ,hata mshahara wa rais hajachukua.
 
Back
Top Bottom