King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,609
Hivi hujui kwamba kitendo cha Serikali kuhamia Dodoma imeathiri biashara ya kupangisha Dar?
Hapana mambo yalianza kuyumba kabla hata serikali kuhamia Dom.....DOm si wameende juzi juzi tu.? Halafu wengi muda mwingi wapo Dar.
