Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Hapo ndipo inaposhangaza sanaNa ikitokea amepata shida yeye anataka umsaidie sababu mnajuana
Fake ID hizi zimeficha mengi
Hapo ndipo inaposhangaza sanaNa ikitokea amepata shida yeye anataka umsaidie sababu mnajuana
Fake ID hizi zimeficha mengi
Kudadeki hata mimi nakutimua tu,
Kuhusu bajeti haina haja ya kutolea macho, waamuacho utake usitake utafuata, mie pia tafuata, nani unafikiri wa kubadili baadhi ya maamuzi yasio rafiki kwa kushauri!Bajeti kajadili na mkeo. Habari ya mjini ni kutenguliwa kwa Chalamila.
Jana alikuwa Igunga na akarudi Nzega.Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na Jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, Jumatano na Alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, Ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Nimetoa sh mkuu ahsante kunielimishaUmeharibu hapo mwisho!!!
Mbeya si ya wanyakyusa Pekee
Wilaya ya mbeya-Wasafwa
Wilaya ya Rungwe,kyela-wanyakyusa...
Kabisa mkuu. Ally Happy ni mtu wa mihemko sana nimewahi kumkuta na wapambe wake mkoa flani kwenye starehe cha kushangaza hakutaka asiyekuwa mpambe wake asogee eneo walilokuwa wamekaa tulimtuliza na wapambe wake akawa mpole kama maji mtungini na angejua alitulizwa na vijana wa 95 .Ajirekebishe sana otherwise sooner he will get lostSasa anapelekwa ambako watu hawarembi! Hawana maneno mingi! AKAMAKINIKE! Mara sio Tabora!!!
Umeharibu hapo mwisho!!!
Mbeya si ya wanyakyusa Pekee
Wilaya ya mbeya-Wasafwa
Wilaya ya Rungwe,kyela-wanyakyusa
Wilaya ya Chunya-wasafwa
Wilaya ya mbalari-wasangu.
Kumbuka Mbeya mjini ipo ndani ya wilaya ya Mbeya,mjini Mbeya Kuna mchanganyiko wa makabila yote lakini bado Wasafwa ni wengi wakifuatiwa na Wakinga na Wanyakyusa!
Unapowataja Wanyakyusa unaitaja moja kwa moja wilaya ya Rungwe na kyela.
Watu uliowasikia wakimzungumzia CHALAMILA uliwauliza makabila yao?!
Sio kila unayemuona Mbeya ni mnyakyusa😔😔
Kwani wanyakyusa wenyewe wanasemajeUmeharibu hapo mwisho!!!
Mbeya si ya wanyakyusa Pekee
Wilaya ya mbeya-Wasafwa
Wilaya ya Rungwe,kyela-wanyakyusa
Wilaya ya Chunya-wasafwa
Wilaya ya mbalari-wasangu.
Kumbuka Mbeya mjini ipo ndani ya wilaya ya Mbeya,mjini Mbeya Kuna mchanganyiko wa makabila yote lakini bado Wasafwa ni wengi wakifuatiwa na Wakinga na Wanyakyusa!
Unapowataja Wanyakyusa unaitaja moja kwa moja wilaya ya Rungwe na kyela.
Watu uliowasikia wakimzungumzia CHALAMILA uliwauliza makabila yao?!
Sio kila unayemuona Mbeya ni mnyakyusa
Umetoa shilingi au umerudisha!?Nimetoa sh mkuu ahsante kunielimisha
Wanasema mitano tena kwa mama,mataga wamepotea wa kuwalipa posho hayupoKwani wanyakyusa wenyewe wanasemaje
Unaamka zako asubuhi hujapiga hata mswaki unaambiwa jiji si lako tena rudi Iringa ukapulizwe na baridi kidogo
kuna uwezekano kwa hiki umekiongea mkuu, huyu dogo hafai kabisaHapi anaenda ku-fail big time Mara, Mama kamsukumia kule ili kumpa nafasi ya kumtimua.
kabisaHappy naye ni masalia ya mwendazake