Rais Samia ataleta siasa muafaka.Ni mtaalamu wa siasa ila wengi hawajui

TEMILUGODA

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
1,389
285
Nimefuatilia Sana nyendo za Rais Samia Suluhu Hasan,anajua siasa Sana Ila anajua namna ya kuwa mtulivu na anajua kuwasoma wapinzani ndani na nje ya chama chake,subirini muone
 
Back
Top Bottom