Tatizo sio Kama hajui anajua sana ila tatizo la mfumo. Mama sio mgeni wa hizi nchi. Kulingana na ngome aliko hawezi kulifungua hilo fundo peke yake.
Nchi zingine vijana, wazee, vikundi, wafanyakazi na taasisi wanaandamana ili kufikisha ujumbe wao na wanasindikizwa huko barabarani na maaskari kwa mwendo wanaoelekezwa na njia wanazoelekewa mpaka wafike wanapotakakufikisha ujumbe wao na serikali inawasikiliza ujumbe wao.
Mama aombe msaada kwa taasisi zote nchini na Jeshi wamsaidie, ili Tanzania ipate katiba mpya. Ataweka historia ya kizazi na kizazi Kama mwanamke shujaa katika bara la Africa aliyetengeneza mfumo wa haki na kuunda nchi yenye mfumo wa viongozi sio watawala.
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.
Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea.
Watu kushika mabango na kuimba nyimbo za kumuomba amwachie kiongozi wa upinzani mh Mbowe.
Mama atajua kuwa Tanzania siyo kisiwa kama alikuwa hajui sasa ataelewa.View attachment 1950276
Sipati picha akirudi atawatazama vipi wale walio mdanganya kuwa mambo yamewekwa sawa pale usaWanawake huwa tuko wepesi sana kuona kuwa tumezaraulika na kuaibishwa.
Hakika mama fedheha imemkuta.
Anatamani heri tu asingeenda huko.
Yaani mpaka aone damu zinamtoka masikioni?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ipo siku na hata kupitia kesi hii hii ya mh Mbowe kuna jambo litakuja kuwatokea tuSi unaona hata mizengwe kwenye kesi ya ugaidi?
Hata jumatatu kutakuwa na mshike mshike huo huo wa kuzuia watu kuingia.
Hawawezi kujifunza.
Wako kama mbwa wazee. Hawawezi kujifunza majina mapya.
Acha tu, atawapanikiaSipati picha akirudi atawatazama vipi wale walio mdanganya kuwa mambo yamewekwa sawa pale usa
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.
Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea.
Watu kushika mabango na kuimba nyimbo za kumuomba amwachie kiongozi wa upinzani mh Mbowe.
Mama atajua kuwa Tanzania siyo kisiwa kama alikuwa hajui sasa ataelewa.View attachment 1950276
Hakika ataacha legacy si kwa Tanzania bali pia Africa yote juu ya uungwana na ujasiri wa mwanamke kuongozaMama aombe msaada kwa taasisi zote nchini na Jeshi wamsaidie, ili Tanzania ipate katiba mpya. Ataweka historia ya kizazi na kizazi Kama mwanamke shujaa katika bara la Africa aliyetengeneza mfumo wa haki na kuunda nchi yenye mfumo wa viongozi sio watawala
Nakubaliana nawewe mkuu kwamba mama peke yake hawezi kulifungua hilo fundoTatizo sio Kama hajui anajua sana ila tatizo la mfumo. Mama sio mgeni wa hizi nchi. Kulingana na ngome aliko hawezi kulifungua hilo fundo peke yake.
Nchi zingine vijana, wazee, vikundi, wafanyakazi na taasisi wanaandamana ili kufikisha ujumbe wao na wanasindikizwa huko barabarani na maaskari kwa mwendo wanaoelekezwa na njia wanazoelekewa mpaka wafike wanapotakakufikisha ujumbe wao na serikali inawasikiliza ujumbe wao.
Mama aombe msaada kwa taasisi zote nchini na Jeshi wamsaidie, ili Tanzania ipate katiba mpya. Ataweka historia ya kizazi na kizazi Kama mwanamke shujaa katika bara la Africa aliyetengeneza mfumo wa haki na kuunda nchi yenye mfumo wa viongozi sio watawala.