Rais Samia atakuwa amejifunza mengi Marekani

Rais Samia atakuwa amejifunza mengi Marekani

Tatizo umefirisika kiakili na kifedha hasa baada ya kuondokewa na mfadhili wenu
Sasa hapa wewe ni MPUMBAVU...naona unalitaka hili neno sababu ni haki yako.
Aliyesema hilo neno ni mtu mwingine ila sababu unatekenywa na kitu sasa wewe ni mpumbavu.
Justice served...
 
Ndio maana Magu alikuwa hataki kwenda Nje ya Nchi alijuwa Tabia Zake mbaya zingemcost. Huyu kaingia kichwakichwa, naamini atajifunza ni Bora ajifiche ndani kama mwenzie.
 
Sasa hapa wewe ni MPUMBAVU...naona unalitaka hili neno sababu ni haki yako.
Aliyesema hilo neno ni mtu mwingine ila sababu unatekenywa na kitu sasa wewe ni mpumbavu.
Justice served...
Corona ilifanya makubwa ya kukumbukwa
 
Ndio maana Magu alikuwa hataki kwenda Nje ya Nchi alijuwa Tabia Zake mbaya zingemcost. Huyu kaingia kichwakichwa, naamini atajifunza ni Bora ajifiche ndani kama mwenzie.
Umeonaeeeeeeee?
 
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.

Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea.

Watu kushika mabango na kuimba nyimbo za kumuomba amwachie kiongozi wa upinzani mh Mbowe.

Mama atajua kuwa Tanzania siyo kisiwa kama alikuwa hajui sasa ataelewa.View attachment 1950276
Hawa ni wapwa zake Mbowe wanaishi marekani hamna jipya kesi ya Mbowe ipo mahakamani.
 
Hawa ni wapwa zake Mbowe wanaishi marekani hamna jipya kesi ya Mbowe ipo mahakamani.
Wewe afadhali unyamaze hadi pale Rugemalira atakapo tuliza akili maana kwa sasa bado yupo moto
 
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.

Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea.

Watu kushika mabango na kuimba nyimbo za kumuomba amwachie kiongozi wa upinzani mh Mbowe.

Mama atajua kuwa Tanzania siyo kisiwa kama alikuwa hajui sasa ataelewa.View attachment 1950276
Sukuma Gang wanakomeshwa😁😁😁😁😁
 
Sukuma Gang wanakomeshwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sukuma gang tayari washakomeshwa kitambo na mwenyezi mungu maana kazi yake haina makosa
 
Back
Top Bottom