Wafuasi wa Chadema bana wanataka uhuru wa habari uwe wao peke yao kama huyu mateka wa Mbowe hataki mimi niongee.🤣Wewe afadhali unyamaze hadi pale Rugemalira atakapo tuliza akili maana kwa sasa bado yupo moto
Na magaidi wanakomeshwa sasa😆😆😆😆Sukuma gang tayari washakomeshwa kitambo na mwenyezi mungu maana kazi yake haina makosa
Vita dhidi ya ugaidi juuu!Korona hoyeeeeee
Kazi ya Mahakama na DPP iko sawa kabisa dhidi ya ugaidiKazi ya mungu haina makosa
Mbona unakesha kumfuatilia?!!Sina sababu ya kumjua
Leo namlinda gaidi 🤣🤣🤣🤣🤣Kwani zamu yako ya kulinda kaburi imekwisha?
Wewe punguani kweli mimi nihame jukwaa kwa wewe mateka ww Mbowe hata mje laki wote nawapa bakora.Tutayafukua makaburi muda siyo mrefu alafu utahama jukwaaa
Ujumbe umewafikia hasa wale machawa wanao fanya kazi ya kumpotoshaHiyo safi sana ameupata ujumbe thorough and square, well and proper. Huwezi ukafanya mambo ya kipumbavu pumbavu eti dunia ikae tu kwenye fensi inakutizama.
She needs to come to her senses and institute the rule of law and learn to know that dictatorship never pays and it has painfully cost the life of her predecessor and she might be next in the firing line.
Gaidi sasa anenda kunyea ndooJiwe sasa ni kichuguu