Rais Samia atakuwa amejifunza mengi Marekani

Rais Samia atakuwa amejifunza mengi Marekani

Umebeba bango lako lenye UJUMBE wa "haki za kijamii" huku umeshika TAMBARA lenye bendera ya CHAMA CHA SIASA.......cha upinzani.....

Unadhani kuna ATAKAYEJALI SANA?!!😲

SIEMPRE JMT
 
Hua wanaishia kushangaa na kufanya vishoping vya hapa na pale tu.
 
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.

Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea...
Wapuuzi hawa wanataka automatic visa extension.....
 
Kutembea ni njia mojawapo ya kujifunza mambo mengi.

Elimu haina mwisho na hilo litakuwa ni fundisho kwa mama yetu kutoka kwa mataifa yaliyo endelea...
Tanzania sio Marekani,gaidi haachhiwi pumbavu nyie ndio maana kuna mahakama
 
Sio kwamba watamfunza ugaidi kama ule wa kumkill Gaddafi na Saddam!! Lakini mama atawapuuza, si ndio!!

Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ampe afya njema Mh rais
Mungu asaidie Mh rais amwachie huru Mbowe.
Mungu asaidie katiba mpya ipitishwe.
 
Wapuuzi hawa wanataka automatic visa extension.....
Mawazo yako ni muendelezo wa watawala wa ccm .

Kila mtu anayekuwa na mawazo tofauti au kila mtu anayeamua kudai haki yake kutoka kwa watawala basi huyo ni adui.
 
Tzn sio Marekani,gaidi haachhiwi pumbavu nyie ndio maana kuna mahakama
Ukiona mtu anatanguliza matusi kwenye mambo yanayo hitaji kutumia akili basi jua amefirisika kifedha na kisiasa na kiakili pia
 
Mawazo yako ni muendelezo wa watawala wa ccm .

Kila mtu anayekuwa na mawazo tofauti au kila mtu anayeamua kudai haki yake kutoka kwa watawala basi huyo ni adui.
Acha uboya...
Wao kutaka visa extension ni haki yao. Sijasema ni maadui, wanapambania haki yao
 
Acha uboya...
Wao kutaka visa extension ni haki yao. Sijasema ni maadui, wanapambania haki yao
Tatizo lako naona una msongo mkuu wa akili.

Umetanguliza na kuwatukana kwa kuwaita wapumbavu
 
Back
Top Bottom