Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki maadhimisho ya miaka 60 ya mkoa wa Singida na kuhutubia mkutano wa hadhara uwanja wa Bombadia mkoani Singida leo tarehe 16 Oktoba, 2023.
View: https://www.youtube.com/live/K8j7hmFrrgQ?si=gNNG4Lv6ssAf5wxO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watoto wa Kijiji cha Msingi mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Mkalama Mkoani Singida.
Viongozi mbalimbali pamoja na Wageni waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba mara baada ya kufungua Rasmi Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mara baada ya kufungua Rasmi Daraja la Msingi Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
View: https://www.youtube.com/live/K8j7hmFrrgQ?si=gNNG4Lv6ssAf5wxO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watoto wa Kijiji cha Msingi mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Mkalama Mkoani Singida.
Viongozi mbalimbali pamoja na Wageni waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba mara baada ya kufungua Rasmi Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mara baada ya kufungua Rasmi Daraja la Msingi Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.