Rais Samia ashauriwe vyema uchumi unakufa

Rais Samia ashauriwe vyema uchumi unakufa

Tusisubiri tufike hadi Zimbabwe mkuu. Zimbabwe kulikuwa kunatisha, sijui kama bado kuko hivyo ila usiombe nchi ikafikia hali iliyokuwa nayo Zimbabwe. Kuna miaka nilipita Harare hali ilikuwa ya kusikitisha.
Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?

Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme

2.Tozo ya miamala ya simu

3.Tozo kwenye mafuta

Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.

Mkuu naomba nauli nihamie Burundi 😐😐😐
 
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
 
Huyu si alishangiliwa alipoteua mpaka wasaidizi binafsi wa uchumi? Tulihoji hapa mawaziri wa fedha wanakazi gani tukajibiwa wale wanasiasa wanaweza mshauri vibaya ili waje wagombee huko mbele kwa maslah yao! Sawa ao washauri binafsi aliowateua wanakula tu mishahara ya bure.
Hawa washauri na wale wahujumu wote huwa wanaungana. Yaani mama anapelekewa taarifa imepitia kwa washauri lakini aliyeipendekeza ni yule mhujumu. Gesi imepanda bei, umeme umepanda bei, petrol imepanda bei mpaka mitumba imepanda bei lakini kwa sababu mama kila kitu analetewa cha serikali hawezi kujua bei ya vitu kupanda
 
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Kwa hiyo unataka kusema huna imani na Mshauri wake wa karibu, na ambaye pia ni Waziri wake Msomi wa PhD ya masuala ya fedha na uchumi, na Mzalendo wa kweli kwa nchi yake! Mh. Dr. Mwigulu Nchemba!!!
 
  • Thanks
Reactions: ral
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
'Ndugu mwanahabari usitilie shaka hata kidogo kuhusu umahiri wangu kwenye uchumi, hapa unaongea na daktari wa uchumi' in madelu's voice...
 
Huyu mama binafsi namshangaa,maana kila sikku ni makongamano na warsha tu,mwenda -ake alikusanya yeye anatapanya leo alipokea kombe na utitiri wa watu.
Yatupasa tuwe tunasomewa na pesa iliyo tumika siku hiyo,hio haikuwa kasi yako maana wasaidisi wako wapo, ulitakiwa kuwe na watu wachahe na siyo utitiri huo,posho ya makongamano inakausha kapu la unga,umesungukwa na viongosi nao wesa sema ni kama mafisi
 
Ukiwa masikini au ukitoka familia masikini au wwe sio tajiri au mfanyabiashara sahau kuwa kiongozi kwa wenzetu maana wanayajua haya.
Kwao uraisi sio sandakalawe kitu cha kupewa pewa tu KILA mtu uraisi ni kubeba maisha ya nje.
Kiongozi wa nchi yafaa awe mfanyabiashara au mchumi.
 
Kwa nini ashauriwe? Yeye mwenyewe kwa akili alizonazo, ana maoni gani?
Sasa kama anarembua tu kila mtu anaona ni kama haelewi nini kinaendelea bora ashauriwe maana hajui cha kufanya
 
Huyu si alishangiliwa alipoteua mpaka wasaidizi binafsi wa uchumi? Tulihoji hapa mawaziri wa fedha wanakazi gani tukajibiwa wale wanasiasa wanaweza mshauri vibaya ili waje wagombee huko mbele kwa maslah yao! Sawa ao washauri binafsi aliowateua wanakula tu mishahara ya bur
Anaiga white house ya Marekani ,inavyokua na economic advisers
 
Tatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.

Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.

Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
Kama chanjo haina faida unataka ahamasishe ujinga
 
Nashukuru kwa uchambuzi huu mzuri kabisa.Labda unisaidie na huu mkopo walio sign juzi na world bank wakidai ni kwaajili ya kuimarisha miundobinu ya Afya na elimu,sasa na hizi tozo sielewi kwenye eneo hilohilo ! kweli tunapigwa
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
 
Huwa hatusemi kuwa mama/baba kasema uongo. Tunasema ulimi umeteleza. Makosa ya Rais yote yanasukumwa kwa washauri wake as if yeye anatakiwa kuchukuwa kila kitu anachoshauriwa. Kwenye 1990s, makosa ya Mwinyi, Nyerere aliwasukumia wasaidizi wake - Malecela na Kolimba! Bado inaendelea mpaka leo.
Kwa nini ashauriwe? Yeye mwenyewe kwa akili alizonazo, ana maoni gani?
 
Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?

Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme

2.Tozo ya miamala ya simu

3.Tozo kwenye mafuta

Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.

Mkuu naomba nauli nihamie Burundi 😐😐😐
Rais anatakiwa awe na washauri wazuri. Unajua serikali haina uwezo wa kuajiri labor force yote hivyo ana wajibu wa kuweka mazingira mazuri kwa sekta binafsi. Sekta binafsi ndio mwajiri mkubwa kokote duniani.
 
Back
Top Bottom