Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 616
- 982
Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?Tusisubiri tufike hadi Zimbabwe mkuu. Zimbabwe kulikuwa kunatisha, sijui kama bado kuko hivyo ila usiombe nchi ikafikia hali iliyokuwa nayo Zimbabwe. Kuna miaka nilipita Harare hali ilikuwa ya kusikitisha.
Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme
2.Tozo ya miamala ya simu
3.Tozo kwenye mafuta
Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.
Mkuu naomba nauli nihamie Burundi 😐😐😐


