Rais Samia ashauriwe vyema uchumi unakufa

Rais Samia ashauriwe vyema uchumi unakufa

Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Walipanga kukusanya bil 150 .
Wamelala bili 42 wanashangilia.

Huyu mama hakuna kitu
 
Tatizo la msingi hapa ni hatari ya kupata uongozi 'kiajali.' Uongozi wa kupatikana kwa kufumba na kufumbua,haya ndio matokeo yake maana unakua hujajiandaa wala kuandaliwa.Uongozi wa namna hii huwa hauna ajenda wala mpango kazi.
 
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Yeye na kaka yake ni kitu kimoja hawashauriki hadi mauti iwakute.
 
Tatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.

Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.

Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
Hili ni kweli kabisa lipo wazi kwa mtu mwenye akili timamu unagundua wasaidizi wa Mama their not real, Wana msinitch Mama, Kuna vitu wanafanya mpaka unajiuliza Wana Nia njema na Mama kweli Ila muda si mrefu ukweli utafahamika
 
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Nachojiuliza ni kwamba yule wazir chemba ya fedha alisema wataachia bil 5 ziende kwenye mzunguko wa hela na watanzania hawataona mzigo wa tozo kwasabu mzunguko wa pesa utakuepo sasa imekuaje?
 
Tatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.

Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.

Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
Nakuunga mkono..na hawa vijana wadogo wadogo aliowateua wasichana warembl kabisa ambao hata maisha ya fitna za siasa hawayajui ndiyo wataenda kumharibia kabisa!! Mtu kama ded msichana mrembo kamchagua yule si anashikiliwa tu anatongozwa anapewa kitita cha maana anajengewa nyumba fasta ataacha kumsalit mama anayemwambia chapa kaz tu? Mama apangue saf na achanganye na wabobez wa mambo? Kuchagua vijana warembo siyo sifa
 
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.

Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.

Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
waccm mmegeuka wapinzani wa kila kitu
 
Nachojiuliza ni kwamba yule wazir chemba ya fedha alisema wataachia bil 5 ziende kwenye mzunguko wa hela na watanzania hawataona mzigo wa tozo kwasabu mzunguko wa pesa utakuepo sasa imekuaje?
Money injection🤣🤣
 
Ni kweli.

Nchi yoyote inayotegemea zaidi kodi katika maendeleo yake badala ya kutegemea uzalishaji na uuzaji wa huduma na bidhaa nje ya nchi HAIWEZI KUENDELEA

Nchi zinazoendelea kwasasa zinakuza chumi zao kwa exportation zaidi na sio kwa local tax

Rais alizingatie hili
 
Bila kukuza exports ni kazi bure, tunahitaji fedha za kigeni tununue madawa diesel na industrial inputs. Sasa hivi tunanunua zaidi nje kuliko tunavyouza nje, uchumi wetu unategemea utalii, na corona hii bado hatubadiliki ndio kwanza tunaanza Royal tours.

Mie nilitegemea rais angefanya ziara ya kutembelea viwanda na kuzungumza navyo namna gani wata export product zao.

Bank zetu hazijitanui nje ya nchi, tumeshindwa hata kufungua ki mpesa Juba.
 
Ni kweli.

Nchi yoyote inayotegemea zaidwai kodi katika maendeleo yake badala ya kutegemea uzalishaji na uuzaji wa huduma na bidhaa nje ya nchi HAIWEZI KUENDELEA

Nchi zinazoendelea kwasasa zinakuza chumi zao kwa exportation zaidi na sio kwa local tax

Rais alizingatie hili
Huo ni uchumi wakizamani kabla ya vita vya pili vya dunia, leo hii Korea ya kusini 20% ya mapato ya kigeni wanapata kutoka Samsung.
 
Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?

Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme

2.Tozo ya miamala ya simu

3.Tozo kwenye mafuta

Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.

Mkuu naomba nauli nihamie Burundi 😐😐😐
Hapo hujazungumzia MIKOPO kutoka nchi wahisani.
 
Moja wapo ya athari zilizosababishwa na hizi kodi ni mfumuko wa bei Kila mfanyabiashara anangalia maslahi yake angalia bei ya gesi ,mbolea,mafuta,nyama,umeme....? Wenye wizara husika wala hawafatiliii aliongea kalemani gesi ishuke ndani ya siku 14 badala yake ikapanda zaidi
Magenge ya Cartels yamerudi
 
Back
Top Bottom