Rais Samia apandisha thamani ya Tanzanite

Waarabu wameendelea kutokana na mafuta(madini), TZ inaendeshwa na mikopo na kodi/tozo sio maliasili tulizonazo.
Waarabu nchi zao ni ndogo,na idadi ya watu ni kidogo.Nchi za kiarabu,unaweza kukuta nchi nzima,ina watu milioni nne,wakati Tanzania ina watu milioni 60.
 
Tukubaliane kitu kimoja ambacho ni kweli pasi shaka.
Wewe ni zuzu.
Huna hoja.Unaishia kutukana.Nchi nyingi za kiarabu zenye maendeleo,wananchi wake ni kuanzia milioni nne(Oman),milioni 30(,Saudia),Milioni 40(Muungano wa Falme za kiarabu).
 
Waarabu nchi zao ni ndogo,na idadi ya watu ni kidogo.Nchi za kiarabu,unaweza kukuta nchi nzima,ina watu milioni nne,wakati Tanzania ina watu milioni 60.
TZ hata iwe na population ya watu laki 1, kwa jinsi watawala walivyo walafi, waroho na wabinafsi itaendelea kuwa maskini.
Kila mkoa unarasilimali za kutosha kuweza kuutokomeza umaskini.
 
Filamu ya Tanzania Royal Tour, imeelezwa kuchangia kupandisha thamani ya madini ya Tanzanite.

Bei ya madini ya Tanzanite na uhitaji wa madini hayo umeongezeka maradufu baada ya filamu ya Royal Tour kumuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye machimbo ya madini hayo.

Katika sehemu ya filamu hiyo, inamuonyesha mkuu huyo wa nchi akiwa katika machimbo hayo yaliyopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara.

Hayo yalibainishwa juzi Alhamisi Julai 21, 2022 na mmoja kati ya wakurugenzi wa kampuni ya Franone mining and Gems Ltd, Vitus Ndakize. Bei ya gram ilikuwa ni 400,000, ila sasa 600,000.
Acha ujinga.
 
Sehemu ya filamu ya ‘Royal Tour’ ikimuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite yaliyopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, imetajwa kuongeza uhitaji na bei ya madini hayo maradufu.

Bei ya gramu moja ya madini ya Tanzanite (inategemea na ubora na rangi yake), awali gramu moja ilikuwa inauzwa Sh400,000, ila baada ya Rais Samia kuonekana kwenye Royal Tour gramu moja inauzwa Sh600,000.

Hii ni fursa kwa Tanzania, kwani uhitaji wa madini ni mkubwa na bei imepanda na tumefaidika kupitia Rais Samia kuyatangaza madini yetu kwenye filamu ya Royal Tour.
 
Sehemu ya filamu ya ‘Royal Tour’ ikimuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite yaliyopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, imetajwa kuongeza uhitaji na bei ya madini hayo maradufu.

Bei ya gramu moja ya madini ya Tanzanite (inategemea na ubora na rangi yake), awali gramu moja ilikuwa inauzwa Sh400,000, ila baada ya Rais Samia kuonekana kwenye Royal Tour gramu moja inauzwa Sh600,000.

Hii ni fursa kwa Tanzania, kwani uhitaji wa madini ni mkubwa na bei imepanda na tumefaidika kupitia Rais Samia kuyatangaza madini yetu kwenye filamu ya Royal Tour.
Na utalii pia.
 
Sehemu ya filamu ya ‘Royal Tour’ ikimuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite yaliyopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, imetajwa kuongeza uhitaji na bei ya madini hayo maradufu.

Bei ya gramu moja ya madini ya Tanzanite (inategemea na ubora na rangi yake), awali gramu moja ilikuwa inauzwa Sh400,000, ila baada ya Rais Samia kuonekana kwenye Royal Tour gramu moja inauzwa Sh600,000.

Hii ni fursa kwa Tanzania, kwani uhitaji wa madini ni mkubwa na bei imepanda na tumefaidika kupitia Rais Samia kuyatangaza madini yetu kwenye filamu ya Royal Tour.
We MÀTAGA mbona husemi kuwa shilingi yetu imeshuka thamani?

ROYO TUWA, Mafuta ya petrol,unga wa sembe ,mchele pamoja na mafuta ya kura nayo yamepandishwa na ROYO TUWA?
 
Tanzanite is a gemstone mined in a small mining area near the Merelani Hills, Tanzania, Africa. It is a variety of mineral zoisite that contains trace amounts of chromium, iron, manganese, titanium, vanadium, and zirconium. These elements give tanzanite its unique color i.e blue and purple. This sparkling gemstone is the best alternative to blue sapphire.
 
..Je, ni Tanzanite peke yake ndio imepanda bei?

..Je, kuna wakati mwingine Tanzanite ilipanda bei, au kushuka? Sababu zake zilikuwa ni nini?

..Je, promotion ya tanzanite ktk filamu ya Royal Tour ilikuwa ya kutosha kiasi cha kupandisha bei ya madini hayo?
 
Back
Top Bottom