Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Wewe ndio unaongea kama kichaa. Aweze kuhudhuria kuapishwa pale Dodoma halafu rais wako asiende kuhudhuria kuapishwa kwake kwao Uganda?Kati ya kuapishwa na msiba upi wenye Nguvu? Bakizeni ata akili kidogo mnapompenda mtu maana mmekuwa kama vichaaa
Uhusiano wa nchi na nchi sio kama wa wewe na rafiki yako ule wa kununulia vocha za buku tano na kurushiana namba za vocha kwenye simu.