Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Heko wadau..
Rais wa Tanzania mh.Samia Suluhu Hassan anajenga Tanzania ya viwanda kwa vitendo na bila makelele ..
Kwa mda mfupi Sana amevutia maelfu ya wawekezaji katika maeneo mbalimbali hususani viwanda .
Tulikuwa na Rais ambaye alikuwa anajigamba Sana Kuwa Rais wa viwanda lakini ndani ya miaka yote 6 hakuna viwanda vya maana ambavyo vilijengwa zaidi ya vyerehani .
Kwa Wakulima wanalia Lia Sana kwa bei za mbolea kuwa juu ila wasijari mwaka ujao bei zitashuka kwa vile viwanda viwili vikubwa vya mbolea vinajengwa Dodoma na Mtwara.
Sasa Tanzania ya viwanda inajengwa na Samia.Hongera Rais wangu kwa Kazi nzuri 👇
Rais wa Tanzania mh.Samia Suluhu Hassan anajenga Tanzania ya viwanda kwa vitendo na bila makelele ..
Kwa mda mfupi Sana amevutia maelfu ya wawekezaji katika maeneo mbalimbali hususani viwanda .
Tulikuwa na Rais ambaye alikuwa anajigamba Sana Kuwa Rais wa viwanda lakini ndani ya miaka yote 6 hakuna viwanda vya maana ambavyo vilijengwa zaidi ya vyerehani .
Kwa Wakulima wanalia Lia Sana kwa bei za mbolea kuwa juu ila wasijari mwaka ujao bei zitashuka kwa vile viwanda viwili vikubwa vya mbolea vinajengwa Dodoma na Mtwara.
Sasa Tanzania ya viwanda inajengwa na Samia.Hongera Rais wangu kwa Kazi nzuri 👇