King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,268
- 1,860
Kama unamanisha damu ya hedhi hapo Sawa!!Yaani anazidi kuwatia hasira wananchi,siku bomu likipulika nchi hii damu imwagike Kama kwingineko ndio watu wataelewa
Kama unamanisha damu ya hedhi hapo Sawa!!Yaani anazidi kuwatia hasira wananchi,siku bomu likipulika nchi hii damu imwagike Kama kwingineko ndio watu wataelewa
Uko sahihi kabisa matendo yake ni tofauti na kauli zake.Kifupi mama ameonesha alivyo na upeo mfupi wa kufikiri. Kwa kiongozi mwenye fikra pevu, asingechukua hatua hii wakati huu. Angesubiri hili lipite.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Niliota hivi hivi hata kwa mwendazake tena mwendazake alikuwa strong zaidi ya huyu.Unaota mchana.
Kwani wajibu wa balozi ni kutetea maovu ya serikaliUnapokuwa na hadhi ya kibalozi ya nchi fulani,Wewe unakuwa ni mmoja kati ya waliopo katika hiyo serekalia,unapoipinga hiyo serekqli unajipinga wewe mwenyewe,kwa hiyo unajivua katika serekali bila wewe kuwa unajijua,ikiwa hujijui,inabakia kutanfazwa rasmi kuwa umevuliwa,kwa vile hujijui,wajibu wako.
Anayeuza bandari na anayetetea isiuzwe nani anayevunja amani.Utake kuvuruga amani,halafu uchekewe.Hata Mwalimu Nyerere,hakuwachekea waliotaka kuvuruga amani.Hata aliogombania nao uhuru,walipotaka kuleta ujinga,aliwaonyesha cha moto.
Kumbe Slaa ni mbobevu wa Lugha nne hatari sanaMoto wa petroli una tabia kuu moja, unapoumwagia maji ili kuuzima unaibukia pembeni tena kwa nguvu zaidi ya ule wa mwanzo tena una tabia ya kulipuka.
Deusdedith Soka kijana aliyeandamana kupinga mkataba wa DPW jana kachomewa nyumba yake na watu wasiojulikana, Mdude, Mwambukusi na Dr. Slaa walifunguliwa mashitaka ya uhaini kwa kupinga mkataba wa DPW, jana Rais kamfutia dr. Slaa hadhi ya ubalozi kwa kupinga mkataba wa Bandari. Yote hii ni kujaribu kuwazima wote wanaohoji mkataba na DPW.
Nataka nimwambie Rais kuwa wanaomshauri afanye hivyo wanampotosha, unapojaribu kumdhibiti Soka anaibuka Mdude, unapomdhibiti Mdude anaibuka Mwambukusi, ukimdhibiti Mwambukusi anaibuka Slaa ukimdhibiti Slaa atakuja Tibaijuka ukiwadhibiti hao yatakuja madhehebu ya dini asifikiri atawamaliza.
Atambue nyuma ya hawa individuals kuna watu nyuma yao kuna taasisi nyuma yao kuna vyama nyuma yao. Siku hizo taasisi na watu wakiamua kuungana mlipuko wake utakuwa mkubwa sana sijui kama ataweza kuuzima.
Sabato njema watu wa Mungu.
According to your mental framework structure you're really absolutely correct and alright without shred of doubt sirKama unamanisha damu ya hedhi hapo Sawa!!
A
According to your mental framework structure you're really absolutely correct and alright without shred of doubt sir