Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Watanzania tulio zaliwa vijijini tunajua shida ya maji iliyokuwa inapatikana katika vijiji vyetu.
Tumpe Maua yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kumtua ndoo mama kichwani. Kwa sasa zunguka vijiji vyote vya Tanzania maji yanapatikana kila nyuma.
Hongera Mh. Aweso, kazi yako inaacha alama, hujamuangusha Mh Rais.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Tumpe Maua yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kumtua ndoo mama kichwani. Kwa sasa zunguka vijiji vyote vya Tanzania maji yanapatikana kila nyuma.
Hongera Mh. Aweso, kazi yako inaacha alama, hujamuangusha Mh Rais.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania