Rais Samia anaingia kwenye kamati kuu ya CCM kama nani?

Si kweli kuwa ccm rais huwa anakuwa mwemyekiti moja kwa moja, zipo taratibu ambazo hufuatwa na kumchagua mwenyekiti ambaye hutokea kuwa ni rais. Na kwa utaratibu huo huo wale viongozi wakuu wa 3 wa serikali ya muungano, wa 2 wa serikali znz na maspika wa bunge na blw huwa wajumbe wa kk kwa nyadhifa zao, jambo hili halina limit kwa makamu tuu. JPM alihudhuria KK pindi alipoteuliwa tuu kuwa mgombea wetu wa urais na aliendelea kuhudhuria vikao hivyo kama mjumbe mpaka alipochaguliwa na wajumbe kuwa mwenyekiti wa chama, imekuwa hivyo wakati wote na ndipo rais Samia alipopata uhalali hapo. Naye ndiye atakuwa mwenyekiti wetu hivi karibuni.
Naunga mkono hoja.
Katiba ya CCM inasema
Screenshot_20210426-174315~2.jpg
Screenshot_20210426-174002~2.jpg
 
Wewe waache wenyewe wewe yanakuhusu nini? Na ninyi mwalikeni Lowasa kwenye kamati kuu ya Chama chenu!
 
Wadau nijulisheni,

Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.

Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.

Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.

Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.

Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?

Ukisoma katiba ya chama cha mapinduzi, toleo la mwaka 2005 kwenye ibara ya 109(b)

Inataja mojawapo ya wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM taifa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anayetokana na chama cha mapinduzi

Kwa hiyo punde tu, mwana CCM anapokuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, automatically anakuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM taifa

Na hiyo sio kwa Rais tu, bali pia na viongozi wengine wakuu wa kisiasa wanaotokana na CCM kama walivyotajwa kwenye hiyo ibara ya 109 kama

Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Makamu wa Rais wa kwanza na wa pili wa Zanzibar wanaotokana naCCM

Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania

Spika wa baraza la wawakilishi
 
Wadau nijulisheni,

Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.

Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.

Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.

Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.

Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Sio tu anaingia kama nani?
anaingia kuchukua uenyekiti ili awanyooshe wanaopandisha mabega
 
Wadau nijulisheni,

Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.

Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.

Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.

Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.

Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Kwani Magufuli baada ya kuwa rais alikuwa anaingia kwenye vikao vya kamati kuu kama nani maana bado Kikwete alibaki kuwa mwenyekiti?
 
Wadau nijulisheni,

Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.

Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.

Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.

Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.

Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Mnahangaika Sana, mngekubali Rasimu Ya Warioba yasingewakuta haya leo
 
Katiba inasema Rais atokaye na ccm ni mjumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu. Hata hasipokuwa mwenyekiti.
 
Huyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Wewe mpumbavu, kwani mamako hawezi kuyafanya hayo unayowatuma mama wa wengine? Mbona imekuwa na majibu ya kipumbavu Sana ya kuwahusisha mama wa mtoa hoja huku mamako ukimtenga Kama kwamba ni zuzu asiyejua lolote zaidi ya kubeba mimba yako na kukuzaa! Huo ni uwomanizer na udhalilishaji wa mama wa wengine as if wa kwako ni Bora zaidi!
Mood mnamuogopa huyu womanizer? Hebu mchapeni Kofi la mwezi mzima kwa kuwadhalilisha mama zetu!
 
T
Wadau nijulisheni,

Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.

Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.

Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.

Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.

Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Tutaelewana kabla ya 2025
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom