Rais Samia ana elimu gani?

Rais Samia ana elimu gani?

Uongozi ni kipaji sio kutegemea elimu tu,pia kiongozi hawezi kujua Kila kitu ndo maana Kuna wasaidizi ambao humshauri nakumwelewesha juu ya maswala mbalimbali.
 
Uongozi ni kipaji sio kutegemea elimu tu,pia kiongozi hawezi kujua Kila kitu ndo maana Kuna wasaidizi ambao humshauri nakumwelewesha juu ya maswala mbalimbali.
Sababu ya kuuliza hili swali ni kuwa Samia anaboronga huo uongozi
 
Ulimi hauna mfupa naamini ameteleza TU, anayemwandikia hotuba ndio kakosea
Yeye mwenyewe hana akili? Kwa sababu hicho ni kitu ambacho nilipokisikia tu mara ya kwanza nilishituka, dola 8000??? Akaambiwa amekosea, akarekebishiwa na aliyemrekebishia nae ni kilaza eti dola 800, na Samia akaitaja hivyohivyo dola 800, yani hachukui hata sekunde 30 kufikiria tu simple Maths
Halafu mnasema kasomea uchumi, yani yeye anaandikiwa tu hotuba hata kama ni pumba anaisoma hivyohivyo tu
 
Yeye mwenyewe hana akili? Kwa sababu hicho ni kitu ambacho nilipokisikia tu mara ya kwanza nilishituka, dola 8000??? Akaambiwa amekosea, akarekebishiwa na aliyemrekebishia nae ni kilaza eti dola 800, na Samia akaitaja hivyohivyo dola 800, yani hachukui hata sekunde 30 kufikiria tu simple Maths
Halafu mnasema kasomea uchumi, yani yeye anaandikiwa tu hotuba hata kama ni pumba anaisoma hivyohivyo tu
Amesoma UCHUMI au Uchuma
 
Back
Top Bottom