Yeye mwenyewe hana akili? Kwa sababu hicho ni kitu ambacho nilipokisikia tu mara ya kwanza nilishituka, dola 8000??? Akaambiwa amekosea, akarekebishiwa na aliyemrekebishia nae ni kilaza eti dola 800, na Samia akaitaja hivyohivyo dola 800, yani hachukui hata sekunde 30 kufikiria tu simple MathsUlimi hauna mfupa naamini ameteleza TU, anayemwandikia hotuba ndio kakosea
Masters Degree kutoka MzumbeLabda kwenye uchumi wa binadamu,
ChoiceVariable atuambie.
Mbona amesoma na Manchester!Katika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?
Kasoma hadi PakistaniMbona amesoma na Manchester!
🤣😂😂Katika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?
Lita usa ni usd800Narudia, hakuna watu wanaopata tabu duniani kwa Sasa kama haters wa Samia. Aisee hawa watu wapo tabuni kiukweli😀😀😀
MipashoKwa mujibu wa MUHAS ,MH SSH Ni doctor mbobevu ingawa hatujuhi kabobea kwenye nini
Amesoma UCHUMI au UchumaYeye mwenyewe hana akili? Kwa sababu hicho ni kitu ambacho nilipokisikia tu mara ya kwanza nilishituka, dola 8000??? Akaambiwa amekosea, akarekebishiwa na aliyemrekebishia nae ni kilaza eti dola 800, na Samia akaitaja hivyohivyo dola 800, yani hachukui hata sekunde 30 kufikiria tu simple Maths
Halafu mnasema kasomea uchumi, yani yeye anaandikiwa tu hotuba hata kama ni pumba anaisoma hivyohivyo tu
Labda madrasaKatika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?