Rais Samia ana elimu gani?

Rais Samia ana elimu gani?

Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
We unashangaa hyo kuna hyo mtoto wake ni naibu waziri wa elimu kuna siku nilimsikia anaongea nikasema hii nchi imefika pabaya sana communication skills ya viongozi wetu ni shida sana kwanza anapenda kusema sijui kwenye hotuba zake nyingi raisi unatakiwa uwe na uhakika unaposema sijui unatia watu mashaka.
 
Elimu ya hapa na pale.ndiyo ipoje naomba ufafaniuzi wakuu?

Kumbuken huyu n mkuu wa nch so ni lazma tujue elimu yake isije ikawa tuna kiongoz kumbe n darasa la tatu C la mjeruman

Rais reasoning yake n kama ubongo wa mende hajui kipi n kip

mbona kama nchi haipo mikono salama kabisa
 
Elimu ya hapa na pale.ndiyo ipoje naomba ufafaniuzi wakuu?

Kumbuken huyu n mkuu wa nch so ni lazma tujue elimu yake isije ikawa tuna kiongoz kumbe n darasa la tatu C la mjeruman

Rais reasoning yake n kama ubongo wa mende hajui kipi n kip

mbona kama nchi haipo mikono salama kabisa
Azam Tv walisema amesoma elimu ya masomo mbalimbali
 
Back
Top Bottom