Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 5,644
- 6,982
Super glue nyingi sana babuWakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Super glue nyingi sana babuWakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Nisije kuwekwa detention kwa kosa kama la Lissu😅😅If ma memory serve correct, muasisi wa hii kauli ni Tundu lissu eeeh?? 🤣🤣🤣
NGUMBAROWakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidi
We jamaa 😅Elimu mbalimbali Pakistan
Huyu maza ndo kadhihirisha ME na KE ni viumbe viwili tofauti hatuko sawa hata kidogoMbona wanasema ni Form Four Failure 😅😅
Ni Doctor, lakini sijajua amespecialise kwe nini mkuu.Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Kasomea tu Ukarani wa Uandishi (Stenoghrapher / Secretary) ngazi ya Cerificate pale zamani IDM Mzumbe Morogoro na sasa Mzumbe University.Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
DuuuhKatika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?
Pakistani? Naomba hio video aliyosema alisoma PakistaniElimu mbalimbali Pakistan
Wewe ni mtu mpuuzi uliyekosa malezi bora kwenye kukua kwako.Mama angu hajasoma ila ukimwambia kawaambie watu mafuta Lita ni dola 8000 lazima akuulize dola 8000 ndio sawa na shi ngapi za Madafu. Ukimwambia Dola 8000 ni zaidi ya Milion 16 za Madafu hawezi kuafikiana na wewe. We kwa kuwa huna shule kichwani anayoongea kilaza mwenIo unayaunga mkono
Kwa hio umekuja kutuambia kwamba mafuta Lita 1 ni Dollars ngapi mkuu? Ukija humu inabidi ujivue kiti uwe km sisiWewe ni mtu mpuuzi uliyekosa malezi bora kwenye kukua kwako.
Hahaaa...Pakistani? Naomba hio video aliyosema alisoma Pakistani