Katika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Kuna hii speech yake inatrend sasahivi, imefanya nijiulize kama huyu mama kweli ni msomi kama wanavyodaiMhudumu wa ndege... maktaba na elimu mbalimbali za kuungaunga...form4 alipata division za failures..
"Sikusoma sana, nilifika hadi kidato cha nne.. Sikufanya vizuri"Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Ndiyo wale ukiwauliza cheti Chao cha elimu au kitambulisho "wanakuchomelea condom kwenye pochi"😁Wakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Lucas Mwashambwa njoo utusaidie"Sikusoma sana, nilifika hadi kidato cha nne.. Sikufanya vizuri"
Hivi hii kauli ilikuwa ya nani?
Sijui kama ana elimu yoyote zaidi ya mipasho na ukatiliWakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Ndio huyu mama sasa.Katika maisha yako ushawahi ona mtu anasema alisomea Pakistani?
STD 7 FAILUREWakuu naomba kujuzwa Samia ana elimu gani
Alisomea nini, wapi na alifikia level gani? Anayejua anisaidie
Punguza makali mkuu. Sema hata ni darasa la saba la mkoloni.STD 7 FAILURE
Mama angu hajasoma ila ukimwambia kawaambie watu mafuta Lita ni dola 8000 lazima akuulize dola 8000 ndio sawa na shi ngapi za Madafu. Ukimwambia Dola 8000 ni zaidi ya Milion 16 za Madafu hawezi kuafikiana na wewe. We kwa kuwa huna shule kichwani anayoongea kilaza mwenIo unayaunga mkono.Mama yako mzazi ana elimu gani?
If ma memory serve correct, muasisi wa hii kauli ni Tundu lissu eeeh?? 🤣🤣🤣Elimu ya hapa na pale!!
Ukiachana na elimu, kuna shida tu...