Rais Samia 'ampiga' Spika Ndugai

Jana nilisambaa video ikimuonesha Spika Job Ndugai akitoa kauli zilizofanya watu wahoji nia yake dhidi ya Serikali iliyopo madarakani.

Katijka hali ya kushangaza, Spika Ndugai ambaye alikuwa mmoja wa wapiga zumari wakubwa wa Serikali iliyopita, alionekana kukandia mikopo inayokopwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya watu. Mfano akizungumzia mkopo wa Trilioni 1.3 ambao Serikali imekopa kutoka IMF, Ndugai amesema ni "Mikopo mikubwa mikubwa isiyoeleweka". Ndugai alishangaa kitendo cha Serikali "KUPIGA MAKOFI" baada ya kupokea mikopo hiyo, akisema kwamba mwaka 2025 watu wataamua kama watapenda kuwa na Serikali inayokopa kopa.

RAIS SAMIA 'AMPIGA"

Akihutubia baada ya kushuhudia utiwaji saini wa mkataba wa ujenzi wa SGR kipande cha Makutopora hadi Tabora , Rais Samia amesema kuna jitihada kubwa za kumvunja moyo katika mikopo, na akatoa hoja za kueleweka kueleza kwa nini tunakopa.

Rais amesema lazima tuendelee kukopa kwa sababu:

1. Tuna miradi ya matrilioni ambayo ilishaazishwa na lazima tuitekeleze kwa wakati. Alitolea mfano wa SGR kwamba ni uwekezaji wa trilioni zaidi ya 14, hivyo hatuwezi kusubiri ni lazima tukope kutekeleza.

2. Mikopo inayotolewa ni mikopo nafuu. Hili linaijibu hoja ya Ndugai aliyejaribu kuonesha kwamba deni la Taifa halistahimiliki akitia chumvi kwamba ipo siku "NCHI ITAPIGWA MNADA". Rais Samia amesema tunatafuta mikopo nafuu akisema kubwa ni uwezo wa kushawishi

3. Kukopa ni kawaida. Tanzania inakopa tangu enzi na enzi, Marais wote walikopa huku Rais aliyepita (Magufuli) akikopa zaidi kwa kuangalia kipindi alichokaa madarakani (Ndugai alikuwa anashangilia tu).

VIDEO (kwa hisani ya @mamayukokazini) HIYO HAPO CHINI
Rais kamjibu kisomi sana Ndugai. Kifo cha JPM kimewaibua wanafiki wengi sana.

Yaani kuna tofauti ya kauli za baadhi ya watu wenye mamlaka, za wakati JPM akiwa yuko hai na baada ya kufa, ni vitu viwili tofauti.
 
CCM Ni kituko
Ndugai ameunga mkono Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo anaitwa Msaliti wa Serikali ya Awamu ya 5 kigeugeu
Ndugai katoa matamko wa Mkopo kapewa jina lingine Mtu aliyekuwa anaunga mkono Serikali ya Awamu 5 wapiga zumari wakubwa Serikali ya Awamu 5

Tuelewe nini
 
Jana nilisambaa video ikimuonesha Spika Job Ndugai akitoa kauli zilizofanya watu wahoji nia yake dhidi ya Serikali iliyopo madarakani.

Katijka hali ya kushangaza, Spika Ndugai ambaye alikuwa mmoja wa wapiga zumari wakubwa wa Serikali iliyopita, alionekana kukandia mikopo inayokopwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya watu. Mfano akizungumzia mkopo wa Trilioni 1.3 ambao Serikali imekopa kutoka IMF, Ndugai amesema ni "Mikopo mikubwa mikubwa isiyoeleweka". Ndugai alishangaa kitendo cha Serikali "KUPIGA MAKOFI" baada ya kupokea mikopo hiyo, akisema kwamba mwaka 2025 watu wataamua kama watapenda kuwa na Serikali inayokopa kopa.

RAIS SAMIA 'AMPIGA"

Akihutubia baada ya kushuhudia utiwaji saini wa mkataba wa ujenzi wa SGR kipande cha Makutopora hadi Tabora , Rais Samia amesema kuna jitihada kubwa za kumvunja moyo katika mikopo, na akatoa hoja za kueleweka kueleza kwa nini tunakopa.

Rais amesema lazima tuendelee kukopa kwa sababu:

1. Tuna miradi ya matrilioni ambayo ilishaazishwa na lazima tuitekeleze kwa wakati. Alitolea mfano wa SGR kwamba ni uwekezaji wa trilioni zaidi ya 14, hivyo hatuwezi kusubiri ni lazima tukope kutekeleza.

2. Mikopo inayotolewa ni mikopo nafuu. Hili linaijibu hoja ya Ndugai aliyejaribu kuonesha kwamba deni la Taifa halistahimiliki akitia chumvi kwamba ipo siku "NCHI ITAPIGWA MNADA". Rais Samia amesema tunatafuta mikopo nafuu akisema kubwa ni uwezo wa kushawishi

3. Kukopa ni kawaida. Tanzania inakopa tangu enzi na enzi, Marais wote walikopa huku Rais aliyepita (Magufuli) akikopa zaidi kwa kuangalia kipindi alichokaa madarakani (Ndugai alikuwa anashangilia tu).

VIDEO (kwa hisani ya @mamayukokazini) HIYO HAPO CHINI
Mjambiani mpumbavu sana huyu ,sisi tunataka kodi zetu na rasilimali zetu zijenge nchi siyo mikopo wakati umeweka tozo
 
Mjambiani mpumbavu sana huyu ,sisi tunataka kodi zetu na rasilimali zetu zijenge nchi siyo mikopo wakati umeweka tozo
Ukitaka kwenda mbinguni ni lazima ukubali kufa. Huwezi kutaka kupumua au halafu safari ya mbinguni iwe inakuhusu.

Watanzania tunapenda sana hii 'bure bure' hakuna maendeleo yanayokuja pasipo mtu kuumia.
 
Kweli kabisa, Samia yupo humble sana hajikwezi. Wala hana mashindano na mtu au taasisi ya kimataifa.
Sijui kutojikweza kwake kumemsaidia nini mwananchi. Ndugai kauliza swali la msingi; kama mmewawekea tozo wananchi ili ipatikane pesa ya kujenga vituo vya afya na madarasa, kwanini tena mkakope kufanya mambo hayohayo?
 
Jana nilisambaa video ikimuonesha Spika Job Ndugai akitoa kauli zilizofanya watu wahoji nia yake dhidi ya Serikali iliyopo madarakani.

Katijka hali ya kushangaza, Spika Ndugai ambaye alikuwa mmoja wa wapiga zumari wakubwa wa Serikali iliyopita, alionekana kukandia mikopo inayokopwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya watu. Mfano akizungumzia mkopo wa Trilioni 1.3 ambao Serikali imekopa kutoka IMF, Ndugai amesema ni "Mikopo mikubwa mikubwa isiyoeleweka". Ndugai alishangaa kitendo cha Serikali "KUPIGA MAKOFI" baada ya kupokea mikopo hiyo, akisema kwamba mwaka 2025 watu wataamua kama watapenda kuwa na Serikali inayokopa kopa.

RAIS SAMIA 'AMPIGA"

Akihutubia baada ya kushuhudia utiwaji saini wa mkataba wa ujenzi wa SGR kipande cha Makutopora hadi Tabora , Rais Samia amesema kuna jitihada kubwa za kumvunja moyo katika mikopo, na akatoa hoja za kueleweka kueleza kwa nini tunakopa.

Rais amesema lazima tuendelee kukopa kwa sababu:

1. Tuna miradi ya matrilioni ambayo ilishaazishwa na lazima tuitekeleze kwa wakati. Alitolea mfano wa SGR kwamba ni uwekezaji wa trilioni zaidi ya 14, hivyo hatuwezi kusubiri ni lazima tukope kutekeleza.

2. Mikopo inayotolewa ni mikopo nafuu. Hili linaijibu hoja ya Ndugai aliyejaribu kuonesha kwamba deni la Taifa halistahimiliki akitia chumvi kwamba ipo siku "NCHI ITAPIGWA MNADA". Rais Samia amesema tunatafuta mikopo nafuu akisema kubwa ni uwezo wa kushawishi

3. Kukopa ni kawaida. Tanzania inakopa tangu enzi na enzi, Marais wote walikopa huku Rais aliyepita (Magufuli) akikopa zaidi kwa kuangalia kipindi alichokaa madarakani (Ndugai alikuwa anashangilia tu).

VIDEO (kwa hisani ya @mamayukokazini) HIYO HAPO CHINI
Simpendi JOb lakini Kauli yake tunapswa kuitafakari kwa kina.
 
Wapo saiti wanatumbua hela na kuzuga as though wanafanya kitu cha maana. Ndiyo maana barabara ya lami, kilometa moja wanajenga kwa zaidi ya miezi ^sea-tar^ na nusu.
Kipindi cha Magufuli kipande cha Kaliua mpaka uvinza km kama 200 hakijaisha.. kipande cha Sikonge kuunganisha na Katavi kama km 150 hakijaisha ndani ya miaka 5! niambie ni barabara gani ya kuunganisha mikoa Magufuli aliikuta haijaisha akaimaliza. Hapa naongelea ndani ya miaka 5. Nitajie barabara moja alikamilisha!
 
Back
Top Bottom