RAIS SAMIA AMEJIPANGA KUWANYOOSHA MAKULUKUTABU

RAIS SAMIA AMEJIPANGA KUWANYOOSHA MAKULUKUTABU

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Je wew ni mwananchi usiye penda Tanzania iliyotulia? Je, una washwa washwa na amani? Huenda ukawa ni makulukutabu.

Sasa habari njema ni kwamba, rais SSH ambaye ni amiri jeshi mkuu amejiandaa vilivyo kuwanyoosha makulukutabu.

Huenda watu wakachezea kipigo cha mbwa koko.
 
Je wew ni mwananchi usiye penda Tanzania iliyotulia? Je, una washwa washwa na amani? Huenda ukawa ni makulukutabu.

Sasa habari njema ni kwamba, rais SSH ambaye ni amiri jeshi mkuu amejiandaa vilivyo kuwanyoosha makulukutabu.

Huenda watu wakachezea kipigo cha mbwa koko.
Jiwe liko wapi?
 
Je wew ni mwananchi usiye penda Tanzania iliyotulia? Je, una washwa washwa na amani? Huenda ukawa ni makulukutabu.

Sasa habari njema ni kwamba, rais SSH ambaye ni amiri jeshi mkuu amejiandaa vilivyo kuwanyoosha makulukutabu.

Huenda watu wakachezea kipigo cha mbwa koko.
Wapigweeeeee na wachapike ili wajue kama hawajui!
 
Screenshot_20240919_192125.jpg
 
Mama aendelee kuongeza misimamo yake kutoka misimamo ya hayati JPM.....hii nchi hii.....
 
J
Je wew ni mwananchi usiye penda Tanzania iliyotulia? Je, una washwa washwa na amani? Huenda ukawa ni makulukutabu.

Sasa habari njema ni kwamba, rais SSH ambaye ni amiri jeshi mkuu amejiandaa vilivyo kuwanyoosha makulukutabu.

Huenda watu wakachezea kipigo cha mbwa koko.
Jinga wew
Una amani Gani unakula mlo mmoja tu

Nyie ndo mnatakiwa mfe ili sisi kizazi chenye akili tuishi
 
Back
Top Bottom