Rashda Zunde
Senior Member
- May 28, 2022
- 199
- 231
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa taarifa kuhusu mwenendo wa hali ua uwekezaji nchini katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na kueleza kwamba jumla ya miradi 575 imesajiliwa sawa na ongezeko la asilimia 26.
Mchanganuo wa Kisekta wa Miradi iliyosajiliwa Machi 2021- Feb 2023
1. Kilimo - miradi 47 na kutoa ajira 9,133
2. Ujenzi/ Majengo ya Biashara- miradi 44 na kutoa ajira 4,452
3. Miundombinu- miradi 5 na kutoa ajira 17,233
4. Nishati- miradi 2 na kutoa ajira 95
5. Taasisi za kifedha- miradi 4 na kutoa ajira 2,869
6. Rasilimali Watu - miradi 17 na kutoa ajira 1,434
7. Viwanda- miradi 280 na kutoa ajira 44,664
8. Huduma- miradi 30 na kutoa ajira 2,479
9. Mawasiliano- miradi 2 na kutoa ajira 85
10. Utalii- miradi 48 na kutoa ajira 3,2111
11. Usafirishaji- miradi 96 na kutoa ajira 1,532
Katika kipindi cha Awamu ya Sita, Machi 2021 hadi Feb 2023 ikilinganishwa kipindi kama hicho Machi 2019 hadi Feb 2021, thamani ya mitaji ya miradi ya uwekezaji iliyosajiliwa TIC imeongezeka kwa asilimia 173 kutoka Dola za Marekani 3.16 bilioni hadi Dola za Marekani 8.64 bilioni. #MamaYukoKazini
Mchanganuo wa Kisekta wa Miradi iliyosajiliwa Machi 2021- Feb 2023
1. Kilimo - miradi 47 na kutoa ajira 9,133
2. Ujenzi/ Majengo ya Biashara- miradi 44 na kutoa ajira 4,452
3. Miundombinu- miradi 5 na kutoa ajira 17,233
4. Nishati- miradi 2 na kutoa ajira 95
5. Taasisi za kifedha- miradi 4 na kutoa ajira 2,869
6. Rasilimali Watu - miradi 17 na kutoa ajira 1,434
7. Viwanda- miradi 280 na kutoa ajira 44,664
8. Huduma- miradi 30 na kutoa ajira 2,479
9. Mawasiliano- miradi 2 na kutoa ajira 85
10. Utalii- miradi 48 na kutoa ajira 3,2111
11. Usafirishaji- miradi 96 na kutoa ajira 1,532
Katika kipindi cha Awamu ya Sita, Machi 2021 hadi Feb 2023 ikilinganishwa kipindi kama hicho Machi 2019 hadi Feb 2021, thamani ya mitaji ya miradi ya uwekezaji iliyosajiliwa TIC imeongezeka kwa asilimia 173 kutoka Dola za Marekani 3.16 bilioni hadi Dola za Marekani 8.64 bilioni. #MamaYukoKazini