Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Alimaanisha nini ? hivi katiba mpya inazuia maendeleo yapi ?Acha ujinga wako,unafikiri wote hatujaelewa alichomaanisha Rais Mama Samia.
Alimaanisha nini ? hivi katiba mpya inazuia maendeleo yapi ?Acha ujinga wako,unafikiri wote hatujaelewa alichomaanisha Rais Mama Samia.
Wazee mbona mnaongea sana mambo ya kishoga. Nyie mashoga nini
Kwani angeletewa kingetokea kitu gani?Uchaguzi una macho zaidi ya macho , hakuna kiongozi ambaye angethubutu kumletea Lissu fyoko fyoko angebaki salama
Mibavicha hiyo mkuuHivi kwanini mpaka leo bado tunamzungumzia huyu jamaa.
Eti Amstrdam anamkuna vizuri 😆😆🤣Lisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Weee nawe zile risasi zaid 30 u.ezisahauKipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Alimaanisha nini ? hivi katiba mpya inazuia maendeleo yapi ?
Chizi huyo hawezi kukuelewaMuwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
Muulize babu yako Makonda.lissu ni mtu wa sheria kama anajua hana kosa anatakiwa arudi kwa kifua mbele kabisa, kinachomfanya ajifiche ni nn?
Nashangaa sana huyo Hery amepewa udc badala ya kuwa lupangoLisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Jiwe alisema hakuna coronaAlivaa barakoa?
Kwahiyo na wewe kumekunogea?
Huyo ndiyo kazi yake maana lumumba ndiyo chanzo cha kipato"Aliwazalo zuzu kama kilaza mwendakuzimu, ndilo linalomtokea".
Hata wale waliojaribu kumletea hiyo fyoookooo fyoookooo sasa hivi tumesha wasahauUchaguzi una macho zaidi ya macho , hakuna kiongozi ambaye angethubutu kumletea Lissu fyoko fyoko angebaki salama
Hata mimi namshangaaa sanaMbona wewe umepumuliwa mpka umepata ujauzito wa polepole,tumenyuti dada punguza genye
Like brother like sisterAlimaanisha nini ? hivi katiba mpya inazuia maendeleo yapi ?