stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Kwamba ๐๐๐๐๐!
Lissu aliyekuja jknia mchana wa saa 7, akazunguka nchi nzima kutafuta kura jiwe aliyetaka kumwua akiwa yupo?
akaondokea jknia mchana na jiwe akamgwaya kwamba kajificha? Labda hujui maana ya kujificha.
kwamba serikali imeshindwa kumkamata alivokuja nchini? uko timamu? kama walikua na shida naye basi angekua ashakamatwa mda mrefu sana kabla hata hajaja nchini kukimbia kwake ni halali kwamba anajua kuna sehem kavuruga