Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki usiku wa Samia na Kizimkazi - Paje tarehe 30 Agosti, 2023 visiwani Zanzibar.
View: https://www.youtube.com/watch?v=CU8Y0ALcmVw
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi mbalimbali vya Sanaa vikitumbuiza kwenye Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) katika viwanja vya Paje Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
Wasanii mbalimbali wakitumbuiza katika Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
Shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
View: https://www.youtube.com/watch?v=CU8Y0ALcmVw
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi mbalimbali vya Sanaa vikitumbuiza kwenye Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) katika viwanja vya Paje Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
Wasanii mbalimbali wakitumbuiza katika Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
Shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.