Watanzania bana yaani rais hawezi kuwa na miilioni 100 lakini Mbunge sawa😀12M
Tuseme tu anazo
Mchengerwa ameiba TAMISEMI amempatia au tuseme ni zake amekuaga ametunza za utumishi wake
GSM katoa Bilioni 10 kama namuona Polepole na Ufipa wanaumia😂
Ni kwa sababu unayatilia maanani sana. We potezea tuHaya mambo yanaumiza sana moyo, ukiyatafakari kwa kina.
Ya mboga kivipi? Rais Nyerere na Rais Mwinyi waliwahi kugawa gawa mahela kama hayo?Pesa ya mboga hiyo kwa Rais/Mwenyekiti...
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.
View attachment 3439433
Ya mboga kivipi? Rais Nyerere na Rais Mwinyi waliwahi kugawa gawa mahela kama hayo?
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania
Haya maigizo yanachekesha, na kusikitisha pia.Haya mambo yanaumiza sana moyo, ukiyatafakari kwa kina.
Naona unasadiki tu na huna uhakika.Kwa uelewa wangu kachangia kama mwenyekiti wa CCM na sio Rais wa JMT, hivyo pesa hiyo mil 100 bila shaka ni mchango toka vyanzo vya chama chao...
Hivyo mwenyekiti wao kaiwakilisha tu kwa niaba ya wanachama wote...
Nukuu:
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.
View attachment 3439433
amezimeki kwenye mshahara wakeHivi hizi hela huwa anazitoa wapi?
Wewe unaye shangaa hilo swali ndio tukuulize akili zako hazijachanganyika na mavi kidogo.Unauliza rais kazitoa wapi miloni 100 una akili timamu kweli wewe?
Hili swali tangu 2007 umeuliza na hakuna aliyewahi kukupa jibu.Mshahara wake kiasi gani?