Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Bila kusahau roho yake mbaya
Shujaa John Pombe Joseph Magufuli atabaki kuwa rais wa karne, mwamba, jasiri, mbeba maono na mtekelezaji...
Tusimlinganishe Rais Samia Suluhu Hassan na JPM. Sisi tuangalie utekelezwaji miradi na ilani ya kurasa 303
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Kazi iendelee