Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,423
- 94,375
Umeme tu wenyewe umemshinda umepanda balaa mara unakatika, kwa kifupi mama hana anachoweza.
Mabadiliko ya sheria yatatupeleka uchumi wa kati?? Watanzañia sijui tumelogwa?? Fanyeni kazi uchumi ukue tuondokane na umasikini! Hizi siasa zisizo na tija hazitatupeleka uchumi wa juu!1. Tunataka katiba mpya nzuri
2. Tunataka mabadilio ya sheria mbovu siyo maagizo ya rais tu, maagizo ni easily reversible
3. Tunataka Ukandamizaji wa kuwa na online Channel youtube uondolewe, kwa nini niilipe serikali hela kwa mimi kuwa na Channel yangu youtube?
4. Tunataka uhuru wa vyombo vya habari
Alafu wameanza mapeeeema sanahahaha..yaan tulikuwa tunawapimia tu..mana mlitukana sana..jpm..sasa naona mmeanza kuagiza moja moto moja bard..na badooo...time will tell
Amefeli mapema snKwa kifupi naona anajaribu kuuma na kupuliza ili amridhishe kila mtu, hii kwangu ni sawa na kupiga msamba au kuzunguka mbuyu kama hana vipaumbele vyake, atapoteza muda wote hapo.
Huyu ndiye mharibifu Magufuli amejenga kila kitu kuanzia miundombinu mpaka uchumi wa taifa! Muulize huyu anaplan gani au amefanya nini?Technically,
Huyu siye Rais kiongozi wa nchi anayetarajia kushika madaraka ya nchi baada ya mharibifu Magufuli kuondoka zake kwa kifo...
Huyu anapita tu. Yupo Rais aliyetabiriwa anakuja. Sifa yake kuu ni UCHA MUNGU...
Magufuli alisema mtamkumbuka! Ila imekuwa mapema mno!Naweza sema mleta mada hujielewi na huna subira pia... Mwendazake alikua hataki ushauri anachooamua kaamua. Tukawa tunalia tunapelekwa ki dictator saiv Kaja mtu anasikiliza watu ety unamuita zaifu..... Mnakeraaa kishenzi yaan
Kazi wanayofanya hao unaowaita covid 19 unataka afanye mamaako?? Hao kazi wanayoifanya ni muhimu kwa taifa na waendelee kuchapa kazi kwa maslahi ya taifa! Nyie endeleeni kupiga porojoMie nashangaa kuona anaruhusu COVID-19 waendelee kulipwa kiharamu pesa chungu nzima za walipa kodi bila kutia neno. Hizo pesa hao COVID-19 watazitolea tundu lolote kwenye miili yao.
Ndege,Madaraja,SGR,Nyerere project,Terminal 3,Stendi ya Mbezi,Viwanda,Barabara,madarasa,Elimu bure,Kukomesha rushwa, nidhamu kazini.... na mengineyo mengi tu ndio ulikuwa uharibifu?? Haya sasa ngoja tuone huo ujenziAcha upuuzi we mataga, mama yupo vizuri acha aendelee kuliponya taifa baada ya kuharibiwa kwa miaka 6. Usifikiri ni jambo rahisi kama unavyofikiria.
Mtoa uzi ndani ya cku 50 Mama awe amefanya kila kitu.Nahisi kwa dunia Tanzania tunaongoza kwa unafiki
Uko sahihi kabisa naunga mkono hojaHakika mimi uwa nasema ukweli bila sisi kama nchi kuacha kuishi ya Uongo uongo hakuna maendelea ambayo tutakuja kupata.
Mama Samia alionekana ni mtu atakaye kuja kufanya mageuzi makubwa lakini nasikitika hakuna kitu chochote mpaka sasa ambacho amefanya.
Kwanza alitoa ahadi ya ukaguzi maalumu BOT ambapo pesa zilichotwa kinyemela mpaka sasa kimya.
Aliagiza kufunguliwa kwa vyombo vyote vya habari mpaka sasa kimya.
Ameleta tume ya walimu wameikataa na yeye kakubali.
Unamtoa mwizi hazina unampeleka viwanda na biashara kwa kuogopa nini?
Haya mambo 4 yanaonyesha kama taifa hatuna kiongozi mwenye msimamo.
Kutokana na picha hii naomba kutoa ushauri kwa mambo yafuatayo
1: Mama aombe msamaha taifa Kwa uharibifu ambao Magufuli aliufanya then.
2: Ahachane na baadhi ya elephant project kama ununzi wa ndege kwa cash uku mishahara ikikushinda kuongeza.
3: Rais aanzishe haraka mchakato wa katiba mpya lasivyo atakwama pakubwa.
4: Rais aongelee swala la Bandari ya bagamoyo ambayo inaonekana ni mradi wa kifisadi kama inawezekana initial contract iwekwe wazi ili Watanzania tuone yaliyomo.
5: Janga la covid19 nalo umepiga kimya mi nasema atakaye ichezea corona itaondoka na yeye.
Nimesikitishwa na Hotuba ya Rais leo kuongelea swala la wafanyakazi wa umma na kuacha wafanyakazi wa sector binafisi ambao ndio wengi zaidi mfano wafanyakazi wa sector binafsi.
Wamekuwa hawaunganishwi na mfuko wa taifa ya bima ya afya kwa lazima.
Wamekuwa hawaunganiswi na mfumo wa pension kwa lazima hivyo waajiri wanakiuka sheria za kazi.
Wamekuwa wanafanya kazi muda mrefu kwa malipo yaleyale yaani mtu analipwa laki 3 kwa mwezi halafu anafanya kazi kwa masaa 12 mpaka 18 kwa siku.
Tena kwa masikitiko malimbikizo ya mishahara yanakuwa makubwa mtu unakuta anadai kwa miezi 2 au 3 nyuma na kwa kulinganisha maisha ya sasa yalivyo magumu je tunawatetea.
Mikataba ya wafanyakazi wa sector binafsi imekuwa haipo wanaopewa ni chini ya 5% ya watu wote wanaofanya kazi sector binafsi hii inafanya watu wafukuzwe hovyo bila kupewa stahiki zao
Wakati yote haya yanafanyika Nchi ina Rais , Makamu, Mawaziri,Wabunge,Wakuu wa mikoa,Wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Idara ya usalama wa taifa, polisi, Takukuru, Tume za wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi.
Nchi sasa inaonekana kama mtu anaongozewa na amewekwa Kama rubber stamp.
Usumbufu kwa wachimbaji wadogo umerudi kwa haraka sana why?
Vituo vya Mafuta baadhi hawatumii EFD tena why?
Ongezeko la madawa ya kulevya kwanini yameongezeka kwa haraka why?
Tunaongelea siku 50 tu za utawala wako mambo yamebadilika hivi je ndani ya miaka 5 hali itakuwaje?
Bila kifanya mageuzi makubwa ya kikatiba na kimfumo hakuna pahali mama samia ataenda.
Inawezekana anafanya either kwa kutokuwa na taarifa au anafanya makusudi.
Nchii hii kwanza mkubali ni yetu sote then tukiri tulikosea hapo nyuma kama nchi then hatujachelewa tuanze upya tusimike mifumo imara other wise kila rais atakuja na kuondoka maendeleo ya kweli hakuna.
Jiulize gharama za pesa zilizotumika leo kuwapeleka mwanza Rais, Makamo, waziri mkuu, Mawaziri wote, Wakuu wa mikoa kwenda kupiga polojo halafu kwenda kushusha kodi kutoka 9% kwenda 8%.
Mama samia akiendelea kukumbatia watu waovu ndani ya ccm atakwama pakubwa sana
Tunataka report ya CAG ya ukaguzi maalumu pale BOT.
Ukishindwa utakuwa Rais dhaifu zaidi kuwai kuongoza taifa hili mambo bado usilale.
Achana na kuikumbatia ccm Fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania.
Makusanyo ya kodi yenyewe kasema hataki walipa kodi wasumbuliwe... bongo hii unawajua walipa kodi vizuri?? Unategemea atakusanya kiasi gani?? Atawezaje kuendesha nchi??Naomba kuuliza kwani alitoa hadi lini ripoti iwe imekamilika? Kuweni na subra..na kuhusu ndege mbona amekuta zimeshalipiwa tayari ..hana jinsi..kiufupi mama nitaanza kumpima mwakani cause atakuwa ndio anafanyia kazi bajeti na vipaumbele vyake..ila kwa sasa mwacheni ajipange kwanza kakutana na mamiradi mikubwa hela zinazokusanywa asilimia kubwa zinaenda huko..hapo labda atafute wafadhili kwa baadhi ya miradi kisha makusanyo ya kodi ndio aelekeze ndani kwenye uchumi
Kweli kabisa!Sikosei nikisema Upinzani umekufa hakuna kabisa ccm pia nayo hamna kitu naiona 2025 yenye mpambano wavipofu watupu atakayepata ushindi mkubwa ni angalau yule mwenye fimbo strong
Tulimfaidi sisi watanzania hususan ambao wa vijijini ambao hawapo kwenye social mediasHicho chuma ulikifaidi wewe
Jiwe walilolikataa waashi huwa linakuwa jiwe la msingiMuonekano hasi ulionekana wakati wa Magu....
lkn wakati utatuambia ukweli kwamba viongozi wa aina yake huwa ni chaos/kero wanapokuwa hai....lkn wakifa baada ya muda kupitia hukumbukwa kwa uchungu mkubwa
Amesema ulipwaji kodi uwe wa kubembeleza anawajua walipa kodi vizuri?? Tuone hiyo hela ya mishahara atatoa wapi!thats true mkuu. nimeshangaa sana alipoongea na kujiamini kuwa mwakani anapandisha mishara. itakuaje kama mambo yatakuwa kama yalivyo sasa. huwezi toa promise kama vile
Huyu rais gani anayeongozwa na tweet za kigogo??mi nahisi BOT kulikuwa kupo poactu, mama aliongea kwa mihenko baada ya,kusoma tweet za akina kigogo na kutoa yale maelekezo, sasa anashindwa kurudi na kusema BOT ipo poa
Magufuli hakuwa mjinga kufanya aliyoyafanya! Vinginevyo huyu aliyepo hataweza kuleta maendeleo nchiniNdiyo maana kuiongoza nchi hii lazima uwe mbogo, ukisikiliza kila mmoja hautafika, Magu style ndiyo inatakiwa. Mwanadamu huwa hana shukrani, wewe fanya the Right thing period
Comrade ivi pwagu bila pwaguzi kweli comedy ita swihi!?Hakika mimi uwa nasema ukweli bila sisi kama nchi kuacha kuishi ya Uongo uongo hakuna maendelea ambayo tutakuja kupata.
Mama Samia alionekana ni mtu atakaye kuja kufanya mageuzi makubwa lakini nasikitika hakuna kitu chochote mpaka sasa ambacho amefanya.
Kwanza alitoa ahadi ya ukaguzi maalumu BOT ambapo pesa zilichotwa kinyemela mpaka sasa kimya.
Aliagiza kufunguliwa kwa vyombo vyote vya habari mpaka sasa kimya.
Ameleta tume ya walimu wameikataa na yeye kakubali.
Unamtoa mwizi hazina unampeleka viwanda na biashara kwa kuogopa nini?
Haya mambo 4 yanaonyesha kama taifa hatuna kiongozi mwenye msimamo.
Kutokana na picha hii naomba kutoa ushauri kwa mambo yafuatayo
1: Mama aombe msamaha taifa Kwa uharibifu ambao Magufuli aliufanya then.
2: Ahachane na baadhi ya elephant project kama ununzi wa ndege kwa cash uku mishahara ikikushinda kuongeza.
3: Rais aanzishe haraka mchakato wa katiba mpya lasivyo atakwama pakubwa.
4: Rais aongelee swala la Bandari ya bagamoyo ambayo inaonekana ni mradi wa kifisadi kama inawezekana initial contract iwekwe wazi ili Watanzania tuone yaliyomo.
5: Janga la covid19 nalo umepiga kimya mi nasema atakaye ichezea corona itaondoka na yeye.
Nimesikitishwa na Hotuba ya Rais leo kuongelea swala la wafanyakazi wa umma na kuacha wafanyakazi wa sector binafisi ambao ndio wengi zaidi mfano wafanyakazi wa sector binafsi.
Wamekuwa hawaunganishwi na mfuko wa taifa ya bima ya afya kwa lazima.
Wamekuwa hawaunganiswi na mfumo wa pension kwa lazima hivyo waajiri wanakiuka sheria za kazi.
Wamekuwa wanafanya kazi muda mrefu kwa malipo yaleyale yaani mtu analipwa laki 3 kwa mwezi halafu anafanya kazi kwa masaa 12 mpaka 18 kwa siku.
Tena kwa masikitiko malimbikizo ya mishahara yanakuwa makubwa mtu unakuta anadai kwa miezi 2 au 3 nyuma na kwa kulinganisha maisha ya sasa yalivyo magumu je tunawatetea.
Mikataba ya wafanyakazi wa sector binafsi imekuwa haipo wanaopewa ni chini ya 5% ya watu wote wanaofanya kazi sector binafsi hii inafanya watu wafukuzwe hovyo bila kupewa stahiki zao
Wakati yote haya yanafanyika Nchi ina Rais , Makamu, Mawaziri,Wabunge,Wakuu wa mikoa,Wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Idara ya usalama wa taifa, polisi, Takukuru, Tume za wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi.
Nchi sasa inaonekana kama mtu anaongozewa na amewekwa Kama rubber stamp.
Usumbufu kwa wachimbaji wadogo umerudi kwa haraka sana why?
Vituo vya Mafuta baadhi hawatumii EFD tena why?
Ongezeko la madawa ya kulevya kwanini yameongezeka kwa haraka why?
Tunaongelea siku 50 tu za utawala wako mambo yamebadilika hivi je ndani ya miaka 5 hali itakuwaje?
Bila kifanya mageuzi makubwa ya kikatiba na kimfumo hakuna pahali mama samia ataenda.
Inawezekana anafanya either kwa kutokuwa na taarifa au anafanya makusudi.
Nchii hii kwanza mkubali ni yetu sote then tukiri tulikosea hapo nyuma kama nchi then hatujachelewa tuanze upya tusimike mifumo imara other wise kila rais atakuja na kuondoka maendeleo ya kweli hakuna.
Jiulize gharama za pesa zilizotumika leo kuwapeleka mwanza Rais, Makamo, waziri mkuu, Mawaziri wote, Wakuu wa mikoa kwenda kupiga polojo halafu kwenda kushusha kodi kutoka 9% kwenda 8%.
Mama samia akiendelea kukumbatia watu waovu ndani ya ccm atakwama pakubwa sana
Tunataka report ya CAG ya ukaguzi maalumu pale BOT.
Ukishindwa utakuwa Rais dhaifu zaidi kuwai kuongoza taifa hili mambo bado usilale.
Achana na kuikumbatia ccm Fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania.
Kweli aiseSure. Kuna kundi lilishapanga VP wao. Waliona Dr Mpango kama kikwazo kwenye mipango yao wakazusha hilo la benki kuu ili limkumbe na yeye.
Ulisoma post za Kigogo2014 baada ya Mpango kuteuliwa? Walikwenda mbali wakasema elimu ya rais ni ya kuungaunga, wakasahau kwamba ndio waliomsifia kabla.
As time goes on, hata siri ya kifo cha Magufuli ltakujajulikana.