Rais Samia achana na kuikumbatia CCM, fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania

1. Tunataka katiba mpya nzuri

2. Tunataka mabadilio ya sheria mbovu siyo maagizo ya rais tu, maagizo ni easily reversible

3. Tunataka Ukandamizaji wa kuwa na online Channel youtube uondolewe, kwa nini niilipe serikali hela kwa mimi kuwa na Channel yangu youtube?

4. Tunataka uhuru wa vyombo vya habari
Mabadiliko ya sheria yatatupeleka uchumi wa kati?? Watanzañia sijui tumelogwa?? Fanyeni kazi uchumi ukue tuondokane na umasikini! Hizi siasa zisizo na tija hazitatupeleka uchumi wa juu!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Technically,

Huyu siye Rais kiongozi wa nchi anayetarajia kushika madaraka ya nchi baada ya mharibifu Magufuli kuondoka zake kwa kifo...

Huyu anapita tu. Yupo Rais aliyetabiriwa anakuja. Sifa yake kuu ni UCHA MUNGU...
Huyu ndiye mharibifu Magufuli amejenga kila kitu kuanzia miundombinu mpaka uchumi wa taifa! Muulize huyu anaplan gani au amefanya nini?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mie nashangaa kuona anaruhusu COVID-19 waendelee kulipwa kiharamu pesa chungu nzima za walipa kodi bila kutia neno. Hizo pesa hao COVID-19 watazitolea tundu lolote kwenye miili yao.
Kazi wanayofanya hao unaowaita covid 19 unataka afanye mamaako?? Hao kazi wanayoifanya ni muhimu kwa taifa na waendelee kuchapa kazi kwa maslahi ya taifa! Nyie endeleeni kupiga porojo

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Acha upuuzi we mataga, mama yupo vizuri acha aendelee kuliponya taifa baada ya kuharibiwa kwa miaka 6. Usifikiri ni jambo rahisi kama unavyofikiria.
Ndege,Madaraja,SGR,Nyerere project,Terminal 3,Stendi ya Mbezi,Viwanda,Barabara,madarasa,Elimu bure,Kukomesha rushwa, nidhamu kazini.... na mengineyo mengi tu ndio ulikuwa uharibifu?? Haya sasa ngoja tuone huo ujenzi

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hakika mimi uwa nasema ukweli bila sisi kama nchi kuacha kuishi ya Uongo uongo hakuna maendelea ambayo tutakuja kupata.

Mama Samia alionekana ni mtu atakaye kuja kufanya mageuzi makubwa lakini nasikitika hakuna kitu chochote mpaka sasa ambacho amefanya.

Kwanza alitoa ahadi ya ukaguzi maalumu BOT ambapo pesa zilichotwa kinyemela mpaka sasa kimya.

Aliagiza kufunguliwa kwa vyombo vyote vya habari mpaka sasa kimya.

Ameleta tume ya walimu wameikataa na yeye kakubali.

Unamtoa mwizi hazina unampeleka viwanda na biashara kwa kuogopa nini?

Haya mambo 4 yanaonyesha kama taifa hatuna kiongozi mwenye msimamo.

Kutokana na picha hii naomba kutoa ushauri kwa mambo yafuatayo

1: Mama aombe msamaha taifa Kwa uharibifu ambao Magufuli aliufanya then.

2: Ahachane na baadhi ya elephant project kama ununzi wa ndege kwa cash uku mishahara ikikushinda kuongeza.

3: Rais aanzishe haraka mchakato wa katiba mpya lasivyo atakwama pakubwa.

4: Rais aongelee swala la Bandari ya bagamoyo ambayo inaonekana ni mradi wa kifisadi kama inawezekana initial contract iwekwe wazi ili Watanzania tuone yaliyomo.

5: Janga la covid19 nalo umepiga kimya mi nasema atakaye ichezea corona itaondoka na yeye.

Nimesikitishwa na Hotuba ya Rais leo kuongelea swala la wafanyakazi wa umma na kuacha wafanyakazi wa sector binafisi ambao ndio wengi zaidi mfano wafanyakazi wa sector binafsi.

Wamekuwa hawaunganishwi na mfuko wa taifa ya bima ya afya kwa lazima.

Wamekuwa hawaunganiswi na mfumo wa pension kwa lazima hivyo waajiri wanakiuka sheria za kazi.

Wamekuwa wanafanya kazi muda mrefu kwa malipo yaleyale yaani mtu analipwa laki 3 kwa mwezi halafu anafanya kazi kwa masaa 12 mpaka 18 kwa siku.

Tena kwa masikitiko malimbikizo ya mishahara yanakuwa makubwa mtu unakuta anadai kwa miezi 2 au 3 nyuma na kwa kulinganisha maisha ya sasa yalivyo magumu je tunawatetea.

Mikataba ya wafanyakazi wa sector binafsi imekuwa haipo wanaopewa ni chini ya 5% ya watu wote wanaofanya kazi sector binafsi hii inafanya watu wafukuzwe hovyo bila kupewa stahiki zao

Wakati yote haya yanafanyika Nchi ina Rais , Makamu, Mawaziri,Wabunge,Wakuu wa mikoa,Wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Idara ya usalama wa taifa, polisi, Takukuru, Tume za wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi.

Nchi sasa inaonekana kama mtu anaongozewa na amewekwa Kama rubber stamp.

Usumbufu kwa wachimbaji wadogo umerudi kwa haraka sana why?

Vituo vya Mafuta baadhi hawatumii EFD tena why?

Ongezeko la madawa ya kulevya kwanini yameongezeka kwa haraka why?

Tunaongelea siku 50 tu za utawala wako mambo yamebadilika hivi je ndani ya miaka 5 hali itakuwaje?

Bila kifanya mageuzi makubwa ya kikatiba na kimfumo hakuna pahali mama samia ataenda.

Inawezekana anafanya either kwa kutokuwa na taarifa au anafanya makusudi.

Nchii hii kwanza mkubali ni yetu sote then tukiri tulikosea hapo nyuma kama nchi then hatujachelewa tuanze upya tusimike mifumo imara other wise kila rais atakuja na kuondoka maendeleo ya kweli hakuna.

Jiulize gharama za pesa zilizotumika leo kuwapeleka mwanza Rais, Makamo, waziri mkuu, Mawaziri wote, Wakuu wa mikoa kwenda kupiga polojo halafu kwenda kushusha kodi kutoka 9% kwenda 8%.

Mama samia akiendelea kukumbatia watu waovu ndani ya ccm atakwama pakubwa sana

Tunataka report ya CAG ya ukaguzi maalumu pale BOT.

Ukishindwa utakuwa Rais dhaifu zaidi kuwai kuongoza taifa hili mambo bado usilale.

Achana na kuikumbatia ccm Fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania.
Uko sahihi kabisa naunga mkono hoja
 
Naomba kuuliza kwani alitoa hadi lini ripoti iwe imekamilika? Kuweni na subra..na kuhusu ndege mbona amekuta zimeshalipiwa tayari ..hana jinsi..kiufupi mama nitaanza kumpima mwakani cause atakuwa ndio anafanyia kazi bajeti na vipaumbele vyake..ila kwa sasa mwacheni ajipange kwanza kakutana na mamiradi mikubwa hela zinazokusanywa asilimia kubwa zinaenda huko..hapo labda atafute wafadhili kwa baadhi ya miradi kisha makusanyo ya kodi ndio aelekeze ndani kwenye uchumi
Makusanyo ya kodi yenyewe kasema hataki walipa kodi wasumbuliwe... bongo hii unawajua walipa kodi vizuri?? Unategemea atakusanya kiasi gani?? Atawezaje kuendesha nchi??

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Rais hapo. Tuna kiongozi wakupiga porojo tu, utekelezaji zero. Hii miaka yake minne ya utawala wa "blah blah" itaurudisha uchumi chini kabisa, trust me.
 
thats true mkuu. nimeshangaa sana alipoongea na kujiamini kuwa mwakani anapandisha mishara. itakuaje kama mambo yatakuwa kama yalivyo sasa. huwezi toa promise kama vile
Amesema ulipwaji kodi uwe wa kubembeleza anawajua walipa kodi vizuri?? Tuone hiyo hela ya mishahara atatoa wapi!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hakika mimi uwa nasema ukweli bila sisi kama nchi kuacha kuishi ya Uongo uongo hakuna maendelea ambayo tutakuja kupata.

Mama Samia alionekana ni mtu atakaye kuja kufanya mageuzi makubwa lakini nasikitika hakuna kitu chochote mpaka sasa ambacho amefanya.

Kwanza alitoa ahadi ya ukaguzi maalumu BOT ambapo pesa zilichotwa kinyemela mpaka sasa kimya.

Aliagiza kufunguliwa kwa vyombo vyote vya habari mpaka sasa kimya.

Ameleta tume ya walimu wameikataa na yeye kakubali.

Unamtoa mwizi hazina unampeleka viwanda na biashara kwa kuogopa nini?

Haya mambo 4 yanaonyesha kama taifa hatuna kiongozi mwenye msimamo.

Kutokana na picha hii naomba kutoa ushauri kwa mambo yafuatayo

1: Mama aombe msamaha taifa Kwa uharibifu ambao Magufuli aliufanya then.

2: Ahachane na baadhi ya elephant project kama ununzi wa ndege kwa cash uku mishahara ikikushinda kuongeza.

3: Rais aanzishe haraka mchakato wa katiba mpya lasivyo atakwama pakubwa.

4: Rais aongelee swala la Bandari ya bagamoyo ambayo inaonekana ni mradi wa kifisadi kama inawezekana initial contract iwekwe wazi ili Watanzania tuone yaliyomo.

5: Janga la covid19 nalo umepiga kimya mi nasema atakaye ichezea corona itaondoka na yeye.

Nimesikitishwa na Hotuba ya Rais leo kuongelea swala la wafanyakazi wa umma na kuacha wafanyakazi wa sector binafisi ambao ndio wengi zaidi mfano wafanyakazi wa sector binafsi.

Wamekuwa hawaunganishwi na mfuko wa taifa ya bima ya afya kwa lazima.

Wamekuwa hawaunganiswi na mfumo wa pension kwa lazima hivyo waajiri wanakiuka sheria za kazi.

Wamekuwa wanafanya kazi muda mrefu kwa malipo yaleyale yaani mtu analipwa laki 3 kwa mwezi halafu anafanya kazi kwa masaa 12 mpaka 18 kwa siku.

Tena kwa masikitiko malimbikizo ya mishahara yanakuwa makubwa mtu unakuta anadai kwa miezi 2 au 3 nyuma na kwa kulinganisha maisha ya sasa yalivyo magumu je tunawatetea.

Mikataba ya wafanyakazi wa sector binafsi imekuwa haipo wanaopewa ni chini ya 5% ya watu wote wanaofanya kazi sector binafsi hii inafanya watu wafukuzwe hovyo bila kupewa stahiki zao

Wakati yote haya yanafanyika Nchi ina Rais , Makamu, Mawaziri,Wabunge,Wakuu wa mikoa,Wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Idara ya usalama wa taifa, polisi, Takukuru, Tume za wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi.

Nchi sasa inaonekana kama mtu anaongozewa na amewekwa Kama rubber stamp.

Usumbufu kwa wachimbaji wadogo umerudi kwa haraka sana why?

Vituo vya Mafuta baadhi hawatumii EFD tena why?

Ongezeko la madawa ya kulevya kwanini yameongezeka kwa haraka why?

Tunaongelea siku 50 tu za utawala wako mambo yamebadilika hivi je ndani ya miaka 5 hali itakuwaje?

Bila kifanya mageuzi makubwa ya kikatiba na kimfumo hakuna pahali mama samia ataenda.

Inawezekana anafanya either kwa kutokuwa na taarifa au anafanya makusudi.

Nchii hii kwanza mkubali ni yetu sote then tukiri tulikosea hapo nyuma kama nchi then hatujachelewa tuanze upya tusimike mifumo imara other wise kila rais atakuja na kuondoka maendeleo ya kweli hakuna.

Jiulize gharama za pesa zilizotumika leo kuwapeleka mwanza Rais, Makamo, waziri mkuu, Mawaziri wote, Wakuu wa mikoa kwenda kupiga polojo halafu kwenda kushusha kodi kutoka 9% kwenda 8%.

Mama samia akiendelea kukumbatia watu waovu ndani ya ccm atakwama pakubwa sana

Tunataka report ya CAG ya ukaguzi maalumu pale BOT.

Ukishindwa utakuwa Rais dhaifu zaidi kuwai kuongoza taifa hili mambo bado usilale.

Achana na kuikumbatia ccm Fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania.
Comrade ivi pwagu bila pwaguzi kweli comedy ita swihi!?
 
Sure. Kuna kundi lilishapanga VP wao. Waliona Dr Mpango kama kikwazo kwenye mipango yao wakazusha hilo la benki kuu ili limkumbe na yeye.

Ulisoma post za Kigogo2014 baada ya Mpango kuteuliwa? Walikwenda mbali wakasema elimu ya rais ni ya kuungaunga, wakasahau kwamba ndio waliomsifia kabla.

As time goes on, hata siri ya kifo cha Magufuli ltakujajulikana.
Kweli aise

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom