johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,133
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Chalamila amesema Rais Samia ameumizwa sana na vifo vya wanafamilia 4 waliofariki kwenye ajali huko Mbwewe Chalinze.
Chalamila amesema Rais Samia anajua kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea watoto wao hawa waliofariki, hivyo ameagiza wazazi hawa wawe wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.
Kadhalika kesho ujumbe wa Serikali utatembelea familia moja moja za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.
RIP Sia Msuya na ndugu zako.
Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki
Chalamila amesema Rais Samia anajua kuwa Mzee Msuya na mkewe walikuwa wanawategemea watoto wao hawa waliofariki, hivyo ameagiza wazazi hawa wawe wanatibiwa kwa huduma ya VIP Class pale Muhimbili, JK, MOI na Hospital zote za Serikali.
Kadhalika kesho ujumbe wa Serikali utatembelea familia moja moja za marehemu hawa kutoa rambirambi rasmi za Serikali.
RIP Sia Msuya na ndugu zako.
Pia soma: Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki