mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,837
Hao wazee wa propaganda
We mfuate Prof Shivji au Jenerali Ulimwengu wakwambue upumbavu wa Gadaffi
We mfuate Prof Shivji au Jenerali Ulimwengu wakwambue upumbavu wa Gadaffi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣kwenye 990 cc.
Umekariri neno propaganda!!Hao wazee wa propaganda
Umekariri neno propaganda!!
Umekariri badoo, hata yeye afikiri kama wewe kuwa ni msaada, siyo haki. Ndio maana hawakumpenda wakashirikiana ma wageni kumuua! Alikuwa mwovu alifikiri huo msaada utapofua watu wasione uovu wakeGaddafi alisaidia wananchi wake,umeme bure,maji bure,nyumba bure n.k
Sema hivi "uelewa wangu mimi Abdul ni mdogo"Uelewa wetu watanzania ni mdogo
Tatizo lako we bado unadhani Ukraine ndio anaye pigana vita. Anaye pigana vita hapo ni NATO lakini kawaida ya mtu dhaifu huwa harushi ngumi MPAA pale aone kunawamuzi au awe nyuma ya mtuMpuuzie tu.
Anataka US na UK warushe silaha direct kutoka ktk ardhi yao kwenda Russia, umeona akili mbovu hizi?
Sasa US na UK arushe silaha kwenda Russia kwani US na UK ndo wamegombana na Russia au Ukraine?
Kama Russia hataki Ukraine ajiunge na NATO kisa NATO itasimamisha silaha za maanganizi Ukraine, kwanini yeye Russia asiangamize NATO ambae ndio anaonekana chanzo cha mzozo badala ya Ukraine?
Hawa vijana wa putin wanajitoa ufahamu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh kauli za kushindwa hizi,by the way kwanini Putin asiwashambulie hao NATO kama alivyoahidi?Tatizo lako we bado unadhani Ukraine ndio anaye pigana vita. Anaye pigana vita hapo ni NATO lakini kawaida ya mtu dhaifu huwa harushi ngumi MPAA pale aone kunawamuzi au awe nyuma ya mtu
bado hailet mantik , kwann alianzisha uvamiz wkt hawakuwa wanatoa silahaNaona watu mumesoma heading tu, bila content mkaanza comments. Putin kapigiwa simu na macron akiombwa asitishe vita, siye yeye aliyeomba Bali Macron. Naye jibu lilikuwa ni kumwambia macron vita itaendelea unless waache kuipa Ukraine silaha Kama kweli wanataka vita iishe.
kwa mbwembwe.alizotumia kuanzisha vita sio wakuja kusema yupo tyr kumaliza vita incase ukraine isipopewa silaha maana ake kashashindwa anasikilizia waamuz tumwandishi uliyeleta hii mada naona wachangiaji wengi hawajakuelewa.. wengi wanafikiri Putin ndo ameziomba nchi za magharibi zisitishe kutoka siraha kwa Ukraine.. kumbe Putin Alikuwa anamjibu macroni awambie ndugu zake waache Ku supply silaha ndo vita itakoma!
Da wewe jamaa una akili sana .Naona watu mumesoma heading tu, bila content mkaanza comments. Putin kapigiwa simu na macron akiombwa asitishe vita, siye yeye aliyeomba Bali Macron. Naye jibu lilikuwa ni kumwambia macron vita itaendelea unless waache kuipa Ukraine silaha Kama kweli wanataka vita iishe.
Safi sana,Pro NATO wanamtia huruma aisee,nimegundua.mwandishi uliyeleta hii mada naona wachangiaji wengi hawajakuelewa.. wengi wanafikiri Putin ndo ameziomba nchi za magharibi zisitishe kutoka siraha kwa Ukraine.. kumbe Putin Alikuwa anamjibu macroni awambie ndugu zake waache Ku supply silaha ndo vita itakoma!