Adam-Saffi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 394
- 305
Hiyo katiba unataka eabafili nini humo? Wabadili nini? Wengi hawakujua Kama VP anaweza kuwa Rais maana they never read it and they don’t even know when it was changed.Sioni ubaya wowote wa Raisi kusafiri,ila ubaya uko kwenye uchoyo wake wa Katiba mpya ya wananchi.
View attachment 2005449
I don’t blame her for that, katiba katiba to change what? It’s too general just Katiba. Tell her what you want changed in there!!!!