Yule alikuwa anachukuwa mikopo kwenye taasisi zenye kutoza riba kubwa na kudanganya watu pesa za ndani leo sote tunajuwa hakuna cha pesa za ndani wala nini ni mikopo kutoka mabank ya kibishara na wamekopa sana Bank of Africa huko, Nchi haijengwi na Rais kukaa ndani tu maana Mugabe angejenga basi. Mama lazima aende atafute pesa na kufungua njia kujenga nchi hapa ndani viongozi wako na sera ziko wazi tuache kupinga kila jambo JK alikuwa anasafiri kila leo na nchi ilikuwa fresh pesa nje akaja wa kubana pesa ikapotea tukamsema hasafiri sijui anaogopa ndege sijui hajui kizungu haya kaja mtu na sera tofauti anasafiri sana hata hujui tunataka nini? Mimi mwenyewe niko safarini nimeacha watoto na mke natafuta fursa sasa sote tukae ndani tujenge nyumba? fanyeni kazi Rais anafanya kazi kwa mujibu wa sheria ingekuwa kaenda mwezini huko hapo tungesema anatafuta nini huko. Mama fanya hata ukitaka kusafiri daily safiri tu muhimu kwa manufaa ya nchi.mama anafungua nchi....hahahaaha.
yule jamaa kuna watu wanasema hakukuwa na demokrasia alikuwa mnyama mara hasafiri kajifungia tu, lakini watu wale wale leo wanasema nchi ina deni kubwa jamaa alikopa sana....sasa sijui wazungu walimkopeshaje mtu asiyefuata demokrasia wala haki za binadamu na wala hatembei kwenda kuomba misaada...