kama ni kuzomea huenda pia walikuwa wanaanagalia zaid imani yao - au ya jumuia yao ikoje kuhusu suala hilo. hii naweka pembeni kuwa wao ni wanajumuia ya chuo kikuu - na ambao wanaweza kuwa wanatoka din tofaut
hebu kumbuka hapa tz rais mstaafu alhaj ali hassan mwinyi alishambuliwa mwilini alipoongelea suala la kondom kwenye shughuli ya kiislam. kitu kama hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.